Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Wafugaji wengi hupenda sana kuwachapa ng'ombe wanapowaswaga.
Hii imesababisha pindo ng'ombe wanapochinjwa kwa ajili ya nyama kuharibu ubora. Hivyo nyama nyingi sehemu ya fimbo zilipotua huwa inatupwa. Nyama ya mbavuni, mguu wa nyuma na mgongoni zimeathirika sana na fimbo.
Mnaharibu soko na pia ni hasara.
Soko la kimataifa hasa Mauritius hawataki kununua ng'ombe wa kutoka Tanzania kwa sababu hii.
Tuheshimu mali inayotuingizia kipato jamani.
Hii imesababisha pindo ng'ombe wanapochinjwa kwa ajili ya nyama kuharibu ubora. Hivyo nyama nyingi sehemu ya fimbo zilipotua huwa inatupwa. Nyama ya mbavuni, mguu wa nyuma na mgongoni zimeathirika sana na fimbo.
Mnaharibu soko na pia ni hasara.
Soko la kimataifa hasa Mauritius hawataki kununua ng'ombe wa kutoka Tanzania kwa sababu hii.
Tuheshimu mali inayotuingizia kipato jamani.