Mwenye kukutwa na NGOZI...Wanaumiza vijana wa watu bureee,wengine hufuatwa tu na wake zenu
Mnachuma dhambi za kujitakiaMwenye kukutwa na NGOZI...
Mke anauma wewe....Mnachuma dhambi za kujitakia
Mke anauma wewe....Mnachuma dhambi za kujitakia
Hii chai nimeisoma kama ile hadithi ya awafu mwenye nguvu!Habari zenu wakuu niende kwenye mada moja kwa moja siku mbili zilizopita ikiwa nipo bandarini mida ya saa tatu usiku baada ya kupakia mizigo kwenye ikiwa nasubiria maji ya usiku ili nisafiri kabla ya kuondoka nikaona niende nikachakate kidogo mbusu maana nahodha kila bandali hakosi jiko.
Nikawaacha vijana wangu baharia pale Pwani mi nikapandisha juu wakati natembea nikakutana na watu watatu mmoja akiwa amebe kiroba ila kikubwa kabla hawajanipita nikawasalimia jamaa aliitikia mmoja tu mara ghafla nikasikia sauti kutoka kwenye kiroba kaka nisaidie wanaenda kunitosa hawa baharini jamaa kwa mstuko wakatupa lile roba wakaziokota mbio mimi nikaliendea lile roba kulifungua nakutana na jamaa yuko hoi bin taaban namuuliza kulikoni akaniambia kuwa amefumaniwa na mke wa mtu kwaiyo wamempiga na ilikuwa akatoswe baharin acheni wake za watu.
Kabakwa??Mke anauma wewe....
**lobster-RobustaHii ni kahawa ipi lobster au arabica?
Alikuwa amefanya hicho ulichotaka kwenda kufanya.Nadhani uligeuza kurudi melini.Habari zenu wakuu niende kwenye mada moja kwa moja siku mbili zilizopita ikiwa nipo bandarini mida ya saa tatu usiku baada ya kupakia mizigo kwenye ikiwa nasubiria maji ya usiku ili nisafiri kabla ya kuondoka nikaona niende nikachakate kidogo mbusu maana nahodha kila bandali hakosi jiko.
Nikawaacha vijana wangu baharia pale Pwani mi nikapandisha juu wakati natembea nikakutana na watu watatu mmoja akiwa amebe kiroba ila kikubwa kabla hawajanipita nikawasalimia jamaa aliitikia mmoja tu mara ghafla nikasikia sauti kutoka kwenye kiroba kaka nisaidie wanaenda kunitosa hawa baharini jamaa kwa mstuko wakatupa lile roba wakaziokota mbio mimi nikaliendea lile roba kulifungua nakutana na jamaa yuko hoi bin taaban namuuliza kulikoni akaniambia kuwa amefumaniwa na mke wa mtu kwaiyo wamempiga na ilikuwa akatoswe baharin acheni wake za watu.
Mtu yupo kwenye kiroba akasema " kaka nisaidie"
Mkuu usitutishe, sisi wengine tunapendwa na hao wake za watu na wala hatutongozi, sasa tufanyeje? Nina miaka kibao sitongozi mwanamke ila natongozwa tu na wake za watu, sasa unataka nifanyeje mkuu?Habari zenu wakuu niende kwenye mada moja kwa moja siku mbili zilizopita ikiwa nipo bandarini mida ya saa tatu usiku baada ya kupakia mizigo kwenye ikiwa nasubiria maji ya usiku ili nisafiri kabla ya kuondoka nikaona niende nikachakate kidogo mbusu maana nahodha kila bandali hakosi jiko.
Nioko zako sana wewe hahahahaNjoo haya maeneo alafu useme kahawa wiki ilipita nilimsafirisha jamaa mmoja yani anahama kabisa yeye pia kafumaniwa alafu kaliwa na mafuta ya kassa jamaa kwa aibu akahama sababu kila watu wakimuona yeye wanajifanya kumuuliza mafuta yanauzwa wapi.
Robusta siyo lobster.Hii ni kahawa ipi lobster au arabica?