Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu hawataki kuhangaika,wanalipa kabisa Wenzio hawataki usumbufu kwenye kulipaKibongobongo, hakikisha unalipa cash on delivery. Mzigo unafika nyumbani...unaukagua kama ndiyo model ile uliyoagiza, uko salama n.k...
Pia, fanya order toka store ya kueleweka. Mostly authorized dealers.
Mwisho, cheap is expensive..
Ndo madhara sasa. Sijui mtu anakosaje muda wa kusurvey japo kidogo tu kuhusu bidhaa anayotaka kununua kwa pesa zake halali.watu hawataki kuhangaika,wanalipa kabisa Wenzio hawataki usumbufu kwenye kulipa
sisi wabongo kuna maisha tunayatamani sana,sasa mtu akiwa na hela flani mfukoni basi n lazima atajaribu yaishi yale maishaNdo madhara sasa. Sijui mtu anakosaje muda wa kusurvey japo kidogo tu kuhusu bidhaa anayotaka kununua kwa pesa zake halali.
Kibongobongo, hakikisha unalipa cash on delivery. Mzigo unafika nyumbani...unaukagua kama ndiyo model ile uliyoagiza, uko salama n.k...
Pia, fanya order toka store ya kueleweka. Mostly authorized dealers.
Mwisho, cheap is expensive..
WATANZANIA tunapenda slopeAsante kwa tahadhari. Lakini ndugu yangu hapa hujawasaidia sana watanzania. Tatizo letu kubwa ni kukosa umakini katika kufikiri na kufanya maamuzi(yani hatupo critical). Unashauri twende dukani, ni sawa, hapa tutapunguza ukubwa tu wa tatizo, lakini madukani pia tunapigwa sana haya makorokocho. Kwanini hali ipo hivi?
1.Wengi si wadadisi, hajiulizi nataka ninunue nini wapi.Ukitaka nunua kitu iwe dukani ama online, jiulize muuzaji ni nani na ujiridhishe kwa kufanya tafiti.Sasa hata hivi ninavyoongea, ninaweza kutafuta mkopo wangu wa redio nikaufungasha vema nikapita nao mtaani sikosi hela ya kula. Lazima upate watu type hii wasio wadadisi. Mbaya zaidi hapo ukute kashakwepa kodi, hana risiti sahihi na hata kushitaki hawezi maana na yeye ni mhalifu.
2.Hachanganui bidhaa niitakayo ina thamani gani hasa ukilinganisha na ubora wake. Je, ninaweza kutoa lakini nane nikapata tv flat MPYA ya nchi 49? ya kampuni gani? Hapa wengi tunalizwa sana kwakuwa tunadhani inawezekana kumiliki kitu cha thamani na ubora mkubwa kwa bei cheee. Utashangaa mtu ana smartphone lakini hana hata wazo la kupitia na kujua hali za bidhaa anazotaka zipoje kimataifa, walau kumfungua ubongo asidanganywe.
Mimi ninakubali hatari ya kupigwa mtandaoni, lakini kwa kiasi kikubwa huchangiwa na ujinga wetu.
Asante sana kwa kuibua mada hii nyeti katika kipindi hiki ambacho kila mtu anaitafuta shilingi hata kwa kumpiga kabali jini mradi hela ipatikane.
Duuuuuuuh!!!Mimi sina la kusema saaanaaaa
Mflat screen huo hapo nchi 49 mtu kautungua kwa laki 8 tu
Kufka home anafungua aangalie LALIGA
aLichokutana nacho ni GALILA badala ya LALIGA
View attachment 1212762View attachment 1212763