Acheni kabisa jamani, mwenzenu napenda Tigo,Duuuu!!

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,527
1,405
*nilikua sipendi kabisa kutamka hili mbele za watu haswa kwa *wazee wenye heshima zao, labda kidogo nilikua naweza kuwaambia wanaume wenzangu ambao tunashea siri,Leo hii acha niwe muwazi ukizingatia humu akuna anayeninifahamu na hilo hapo juu sio jina langu halisi.Nawaambieni kweli ila msinione Mtu wa ajabujamani,mnichukulie kama kijana mwenzenu,msininyayapae kwani kila mtu na starehe yake.Nawambieni kweli mm mpenzi *saaaaaaaaaaaaaaaaaaana wa mtandao wa simu za mkononi wa Tigo..Sbb kubwa mtandao wao ni rahisi na umeenea alafu nlianza kuutumia tangu enzi zile mshamba wa simu. hata hapa nilipo natumia modem yao.Napia matangazo yao redoni na kwenye tv yananivutia ..Je ww unapenda mtandao gani?
 
Mmmmh, hebu subiri kama vile sijakuelewa, ngoja nimalizie kitimoto yangu maana tamu kweli kama vile kavunwa kwenye shamba la Mama Fatuma Kimario kule Mbezi Beach....
 
Hilo jina hapo juu limenistua. Nilikuwa nataka nikushushi maneno ya laana.
 
*nilikua sipendi kabisa kutamka hili mbele za watu haswa kwa *wazee wenye heshima zao, labda kidogo nilikua naweza kuwaambia wanaume wenzangu ambao tunashea siri,Leo hii acha niwe muwazi ukizingatia humu akuna anayeninifahamu na hilo hapo juu sio jina langu halisi.Nawaambieni kweli ila msinione Mtu wa ajabujamani,mnichukulie kama kijana mwenzenu,msininyayapae kwani kila mtu na starehe yake.Nawambieni kweli mm mpenzi *saaaaaaaaaaaaaaaaaaana wa mtandao wa simu za mkononi wa Tigo..Sbb kubwa mtandao wao ni rahisi na umeenea alafu nlianza kuutumia tangu enzi zile mshamba wa simu. hata hapa nilipo natumia modem yao.Napia matangazo yao redoni na kwenye tv yananivutia ..Je ww unapenda mtandao gani?

Bahati yako, ningekuwa mhehe ningesema, VAKUTUMITE?!!
 
Naona wewe bado hujapata spidi zaidi,kasi zaidi,kaazi ni kwaakooo
 
Unakila sababu ya kuipenda tigo maana, ukiangalia nyuma umetanuka zaidi na unazidi kutanuka zaidi na zaidi, hata jirani yako anakutwangia tu anapotaka.
 
hv mie najuiliza kwanin walitungia neno tigo? Eti anayejua anijuze kwanini zigo ilitungiwa neno tigo?
 
mchapo uliuanza vizuri lakini ukaiharibu kumalizia. Inawezekana kuna kitu ulishtuka kwa sababu nilishagundua ulikokuwa unaelekea.
 
Sasa hv ukitaka mara 1 tigo wanakupa mara2 yake hadi uckie raha. he heeee!
 
Mmmmh, hebu subiri kama vile sijakuelewa, ngoja nimalizie kitimoto yangu maana tamu kweli kama vile kavunwa kwenye shamba la Mama Fatuma Kimario kule Mbezi Beach....

Elli una maana yule D.C. Taratibu kaka BAKWATA wasikutolee tamko
 
Back
Top Bottom