GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
Ndungulile (Faustine), ni kijana safi, mchapakazi, msemakweli, wana Kigamboni mniletee huyu, amefanya Kazi kubwa kuhakikisha Kigamboni inapata wilaya na nilienda kuzindua mimi," JPM, Taifa leo katika Kampeni yake ya Uchaguzi kuwania Urais ngwe ya pili.
HabariLeo
Haya sasa wale 'Visokolokwinyo' mliozusha kuwa Rais JPM 'alimtumbua' Daktari Ndugulile kwakuwa alisema 'Ukweli' juu ya CORONA njooni mjibu.
HabariLeo
Haya sasa wale 'Visokolokwinyo' mliozusha kuwa Rais JPM 'alimtumbua' Daktari Ndugulile kwakuwa alisema 'Ukweli' juu ya CORONA njooni mjibu.