Kwamba hujaelewa au??? Jamaa kajiachia waz halaf afya aliyonayo haimruhusu kufanya hivyoWhat do you mean?
That is what he has. Ya Mzungu hana,hiyo ndo afya yake.Kwamba hujaelewa au??? Jamaa kajiachia waz halaf afya aliyonayo haimruhusu kufanya hivyo
Hapo jamaa anapiga kengeza za hatari kwa huyo nguruw mweupe....wacha azubae tu. jamaa ataenda kuchekea chooni.Achana na huyo Mzungu,Tu deal tu na huyu Chalii apo.
@NgarenaroBoy
afya ni nini?Kwamba hujaelewa au??? Jamaa kajiachia waz halaf afya aliyonayo haimruhusu kufanya hivyo
Acha dharau, beach hapo ulitaka avae nnKwamba hujaelewa au??? Jamaa kajiachia waz halaf afya aliyonayo haimruhusu kufanya hivyo
Eti afya mbovu.unamjua lakini huyo MTU mwembamba???anaitwa Ezekiel kemboi ni mwanariadha wa Kenya na bingwa wa dhahabu Olympic na ma michuano mengine.hapo kwenye hela huyo mzungu anaeza akasuburiafya ni nini?
we umefahamu vp kwamba afya ya jamaa hairuhusu,kuwa mwembamba haina maana hauna afya rudi shule mkuu