Kama kuna mtu anaona wanasiasa wanafaidi naye aingie kwenye kinyang'anyiro cha udiwani, ubunge ama urais.
Lakini...
1. Uwe tayari kufanya ulozi na makafara. Mfano mzee wa nje ya box na mzee wa mama Amina.
2. Uwe tayari kutoa roho ya mtu. Kuna wanasiasa Alphonce Mawazo, Dr. Mvungi, n.k waliuawa kwasabb zinazodhaniwa kuwa ni za kisiasa.
3. Kwa wanawake ili kupata viti maalum lazima ugawe "kitu" maalum. Ulishawahi kuona viti maalum wenye sura za baba zao?
4. Inabidi usaliti nafsi yako kwa kile unachokiamini.
Mifano:
* Magufuli akiwa waziri wakati wa awamu ya 4 alimsifia Kikwete kwa kusafiri Sana nje ya nchi kumbe alikuwa hapendi.
* Samia, Gwajima na Ummy walihubiri kujifukiza kumbe walikuwa wanaamini ktk chanjo.
* Ndalichako, na mama Salma walimpongeza Magufuli kwakukataa kuwasomesha watoto waliopata ujauzito lkn kumbe hawapendi.
Nikiyafikiria maudhi haya na makufuru haya ya wanasiasa naona wote jehanamu inawahusu. Acha tu wafaidi tozo zetu lkn watapata taabu Sana siku ya mwisho.
Lakini...
1. Uwe tayari kufanya ulozi na makafara. Mfano mzee wa nje ya box na mzee wa mama Amina.
2. Uwe tayari kutoa roho ya mtu. Kuna wanasiasa Alphonce Mawazo, Dr. Mvungi, n.k waliuawa kwasabb zinazodhaniwa kuwa ni za kisiasa.
3. Kwa wanawake ili kupata viti maalum lazima ugawe "kitu" maalum. Ulishawahi kuona viti maalum wenye sura za baba zao?
4. Inabidi usaliti nafsi yako kwa kile unachokiamini.
Mifano:
* Magufuli akiwa waziri wakati wa awamu ya 4 alimsifia Kikwete kwa kusafiri Sana nje ya nchi kumbe alikuwa hapendi.
* Samia, Gwajima na Ummy walihubiri kujifukiza kumbe walikuwa wanaamini ktk chanjo.
* Ndalichako, na mama Salma walimpongeza Magufuli kwakukataa kuwasomesha watoto waliopata ujauzito lkn kumbe hawapendi.
Nikiyafikiria maudhi haya na makufuru haya ya wanasiasa naona wote jehanamu inawahusu. Acha tu wafaidi tozo zetu lkn watapata taabu Sana siku ya mwisho.