Acha voda waendelee kuringa

kombaME

JF-Expert Member
Aug 24, 2015
2,115
2,809
Hakuna namna, kama wew unategemea internet katika kufanya kazi zako huna namna ya kuwakwepa voda, maan mitandao mingine hakuna kitu, slow sana. Airtel wana bando za maana sana ila internet ipo slow sana haifai kabisa. Voda endeleeni kutamba, hakuna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasi ya mtandao wa internet kwa Tanzania tuko nyuma sana tunashindwa na kenya, uganda hata Rwanda sijui tatizo ni nini?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni kweli Voda wanakasi lakini wezi Sana yaani Mia 5 mb 70 Ni upuuzi Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mia5 kivipi iwe mb70?
Screenshot_20200202-124224~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa tunahama kwa hasira ila kinachotukuta huko kwingine ni balaa internet speed ya konokono kama una haraka zako unaweza kubamiza simu sakafuni kwa hasira. Naunga mkono hoja
 
Hallotel had leo hawana 4g yanini kwangu....Voda vifurush vyao ghali... Airtel wako na tatizo la mtandao wa data yan muda wowote utashangaa wako off...Tigo uwiiiiiiiiiii wako ghali mb zakunusa....Ttcl wako na vifurush rahisi na mb nyingi ukilinganisha na hao wengine ila 4g inasehem na sehem yan mtaa huu unaipata mtaa mwingine holla yan haiko full covered.Kibabe kwa sasa niko Airtel 2gb 2000 kwa siku 3.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna namna, kama wew unategemea internet katika kufanya kazi zako huna namna ya kuwakwepa voda, maan mitandao mingine hakuna kitu, slow sana. Airtel wana bando za maana sana ila internet ipo slow sana haifai kabisa. Voda endeleeni kutamba, hakuna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mchungu.
 
Back
Top Bottom