Acha tabia ya kutokupokea simu

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wakuu. Poleni na kimbembe cha January!

Turudi kwenye mada

Hata kama unadaiwa, hata kama upo busy kiasi gani, hata kama mtu akikupigia ukiwa chooni, iwe namba ngeni au unayoijua, usiache kupokea simu.

Kuna simu hazipigagi zaidi ya mara moja, na hizo mara nyingi ndo huwa zenye ramani au mipango mizuri ya maisha.

Namba ngeni ikikupigia please pokea, hata kama mtu anakudai we mpokelee tu. Huyohuyo anakudai anaweza kukupigia simu akakupa deal au umsaidie kitu ambacho kipo kwenye capacity yako kabisa.

Unaweza kupigiwa simu ili uepukane na hatari fulani. Unaweza kupigiwa simu kuna uteuzi au dili la pesa ndefu.

Tujenge tabia ya kupokea simu wakati wote.

Na ukikuta missed calls, please respond.

Ni hayo tu.

Wasalaam.




Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Ni ujinga tu..me hata mtu awe ananidai ntampokelea tu na kusikiliza akitakacho kwani kudaiwa ndio nini bana? Kuna jamaa ananidai pesa ya cement mifuko 20 huu mwezi wa 4 sasa, akinipigia muda wowote napokea na kumjibu sina kwa sasa, nikipata muda wowote nakulipa
 
Hahaha

Unafanana na tapeli Mwandamizi wa hapa Mwananyamala…namdai mpaka sometime namchunia ili asipate tabu ya kunidanganya lakini ananistua na kunisabahi daily
Ni ujinga tu..me hata mtu awe ananidai ntampokelea tu na kusikiliza akitakacho.kwani kudaiwa ndio nini bana?kuna jamaa ananidai pesa ya cement mifuko 20 huu mwezi wa 4 sasa,akinipigia muda wowote napokea na kumjibu sina kwa sasa ,nikipata muda wowote nakulipa
 
Hakuna simu huwa sipokei. Mzee wangu ndio bingwa wa kutokupokea simu yangu milele, ni yule mzee ambaye ili niongee nae lazima awe na bibi yangu ndio nipige kwa bibi kisha ampe simu bila kujua. Na penyewe salamu tu kisha nitakutafuta badae tuongee vizuri inafatia. 2020 nimeongea nae mara moja.

Nikimpigia kwa namba mpya anapokea ila vikao na kelele vinasingiziwa. Pia ni mtaalamu wa kuongea na simu ile "sikusikii, sikusikii mtandao unasumbua" wakati yuko mjini na 4G.
 
Hakuna simu huwa sipokei. Mzee wangu ndio bingwa wa kutokupokea simu yangu milele, ni yule mzee ambaye ili niongee nae lazima awe na bibi yangu ndio nipige kwa bibi kisha ampe simu bila kujua. Na penyewe salamu tu kisha nitakutafuta badae tuongee vizuri inafatia. 2020 nimeongea nae mara moja.

Nikimpigia kwa namba mpya anapokea ila vikao na kelele vinasingiziwa. Pia ni mtaalamu wa kuongea na simu ile "sikusikii, sikusikii mtandao unasumbua" wakati yuko mjini na 4G.
Wewe ni mwanafunzi mkuu??
Inaonekana una vizinga sana mpaka mzee anakuwepa
 
Wakuu. Poleni na kimbembe cha January !

Turudi kwenye mada



Hata kama unadaiwa , hata kama upo busy kiasi gani , hata kama mtu akikupigia ukiwa chooni ,iwe namba ngeni au unayoijua, usiache kupokea simu.



Kuna simu hazipigagi zaidi ya mara moja, na hizo mara nyingi ndo huwa zenye ramani au mipango mizuri ya maisha.



Namba ngeni ikikupigia please pokea, hata kama mtu anakudai we mpokelee tu. Huyohuyo anakudai anaweza kukupigia cm akakupa deal au umsaidie kitu ambacho kipo kwenye capacity yako kabisa.


Unaweza kupigiwa simu ili uepukane na hatari fulani. Unaweza kupigiwa cm kuna uteuzi au dili la pesa ndefu.


Tujenge tabia ya kupokea cm wakati wote.

Na ukikuta missed calls , please respond.

Ni hayo tu.


Wasalaam.




Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ukishakua masikini unaanza kuishi kwa ngekewa na kudhania dhania

Kila kitu unaanza kunipa moto kuwa inawezekana dili ya hewa,mara uteuzi sijui kitu kilichopo kwenye capacity

Hapo hata ukinywa soda unaangalia mara mbili mbili chini ya kizibo unategemea kushinda

Ila kama una shughuli zako unazofanya zimenyooka zinakuingizia kipato huna haja ya kuwa mtumwa wa simu aisee eti hadi chooni upokee?? Namba mpya anategemea na utaratibu wako uliojiwekea, missed call nitawarudia ambao ninaona kuna manufaa. Muda mwingine kutokupokea ni njia ya kufanya "screening" hizo simu.

Kwakua wengine hapa ulisema niongee na simu zote zinazoita kwenye simu yangu nitakua kama opareta hadi taya zitauma na sitafanya shughuli yoyote nyingine
 
Wakuu. Poleni na kimbembe cha January !

Turudi kwenye mada



Hata kama unadaiwa , hata kama upo busy kiasi gani , hata kama mtu akikupigia ukiwa chooni ,iwe namba ngeni au unayoijua, usiache kupokea simu.



Kuna simu hazipigagi zaidi ya mara moja, na hizo mara nyingi ndo huwa zenye ramani au mipango mizuri ya maisha.



Namba ngeni ikikupigia please pokea, hata kama mtu anakudai we mpokelee tu. Huyohuyo anakudai anaweza kukupigia cm akakupa deal au umsaidie kitu ambacho kipo kwenye capacity yako kabisa.


Unaweza kupigiwa simu ili uepukane na hatari fulani. Unaweza kupigiwa cm kuna uteuzi au dili la pesa ndefu.


Tujenge tabia ya kupokea cm wakati wote.

Na ukikuta missed calls , please respond.

Ni hayo tu.


Wasalaam.




Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi Mkuu..
 
Wewe ni mwanafunzi mkuu??
Inaonekana una vizinga sana mpaka mzee anakuwepa
Ukimlipia mwanao ada na bills unakuwa umemuhonga? Akikuomba hela ya matibabu once in his lifetime ndio amekupiga vizinga?

Tunatafuta hela kuwatengenezea content wamiliki wa YouTube channels hapo baadae
 
Mi mvivu hasa kupokea simu na simu yangu haina mlio ukipiga nikapokea jua nipo nayo muda huo
 
Back
Top Bottom