Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,136
- 4,298
Siku zote ukweli huwa haukubaliki katika jamii hasa ya kizazi hiki ambacho kila mmoja yupo tayari kusema mapungufu ya mwenzake na siyo yake. Haiwezekani mambo yaliyohubiriwa miaka yote kuwa ni maovu na waovu hao kutajwa kwa uovu huo eti leo yawe yamesahaulika hivi hivi ?
Ndio sisi ni panzi na sisi ni kuku,subirini vitimbwi vya mwewe.
Ndio sisi ni panzi na sisi ni kuku,subirini vitimbwi vya mwewe.