BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Wana wa misri walitoka usiku mussa akamwambia bwana usipokuwa nami sitokimahaali hapa
nawe usiku wa leo amka uanze kupiga majeshi yanakuzunguka pengine umekuwa maskini
unaishia kusema aaha familia yetu iko hivi hivi nanai kakwambia pengine abba na mamaako walisemewa
vibaya na watu na wewe umebebea laana zao unakaa kkimya usiku wa leo mwambie mungu
kama mussa alivyoondoka usku nami usiku huu ninatangaza usku wa kutoka kwenye ajira, kibiashara,
kwenye ndoa yangu,uzao wangu tangaza mahitaji yako usiku usilale nduguu aijalishi utachukua dakika ngapi
lakini zinakupa uheri na furaha ya maisha milele
wapo watu wanateseka kwenye ndoa ukifanya hist mapping unakuta akuna wazazi wao waliokaa pamoja
wote wanatengana ujui sababu we unakaa mwezi na nusu unaanza kuitisha kikao cha usuluhisho amua sasa hama
amia kwa yesu anza kupiga vita usiku nakwambia jifunze maombi ya usiku shetna mwenyewe usikundio saa yake
na kama uamini kaama una mtotomchanga sikiliza usiku anavyolia sio kwamba anitaji maziwa anaona jamaa wanatka
kumuadhibu wewe na yeye anaamua kuku allert lakinina dhambi zako unakimbilia kumpa maji mtoto anza kusali
kemea mapepo mwambie mungu akuna kona shetan atakayonigusa...dhambi hikindicho kivutio cha shida na laana za watu wengi nasema ujue ukiweza kuacha dhambi hata sala za ko mungu anakuwa karibu nazo
ubarikiwe nausiku mwema
nawe usiku wa leo amka uanze kupiga majeshi yanakuzunguka pengine umekuwa maskini
unaishia kusema aaha familia yetu iko hivi hivi nanai kakwambia pengine abba na mamaako walisemewa
vibaya na watu na wewe umebebea laana zao unakaa kkimya usiku wa leo mwambie mungu
kama mussa alivyoondoka usku nami usiku huu ninatangaza usku wa kutoka kwenye ajira, kibiashara,
kwenye ndoa yangu,uzao wangu tangaza mahitaji yako usiku usilale nduguu aijalishi utachukua dakika ngapi
lakini zinakupa uheri na furaha ya maisha milele
wapo watu wanateseka kwenye ndoa ukifanya hist mapping unakuta akuna wazazi wao waliokaa pamoja
wote wanatengana ujui sababu we unakaa mwezi na nusu unaanza kuitisha kikao cha usuluhisho amua sasa hama
amia kwa yesu anza kupiga vita usiku nakwambia jifunze maombi ya usiku shetna mwenyewe usikundio saa yake
na kama uamini kaama una mtotomchanga sikiliza usiku anavyolia sio kwamba anitaji maziwa anaona jamaa wanatka
kumuadhibu wewe na yeye anaamua kuku allert lakinina dhambi zako unakimbilia kumpa maji mtoto anza kusali
kemea mapepo mwambie mungu akuna kona shetan atakayonigusa...dhambi hikindicho kivutio cha shida na laana za watu wengi nasema ujue ukiweza kuacha dhambi hata sala za ko mungu anakuwa karibu nazo
ubarikiwe nausiku mwema