Accounts jobs zinakuwa replaced na technology kila siku, wahasibu tumejiandaaje? Next 10 yrs hatutahitajika tena

tuangalie vitu kwa upana.. siku hizi dunia kama kijiji.. changes kidogo inatugusa wote ndio maana hata ifrs inafata principle zinafanana hata uwe nchi gani...

na makampuni mengi ni yanasave dunia nzima na makao makuu yao yapo majuu.. mfano voda, tigo, total, puma, standard chartered... so group head office ambazo zipo majuu zikiamua kwamba tunaweka system tunaondoa wahasibu... dunia nzima ilipo hiyo kampuni lazima watafata uamuzi wa head office....

Umewahi fanya katika hizo kampuni? je kwanza huajiri asilimia ngapi ya wahasibu wote wa kitanzania? don't be general some times, muda flani uvivu hukupa imani fake,

technology ipo na itaendelea kuwepo na kubadilika. tanzania ni nchi changa ki uchumi bado inatuitaji tuijenge kwa nguvu zetu, na si kwa uvivu na kuamini 'robot"
 
ukisoma heading tu ya uzi wangu ungejua namaanisha nini... ila sababu hutaki kubadilika unakomalia ajira ziwepo tu na teknology sio ishu.. endelea kuamini hivyo.... nimesema wahasibu tunajiandaaje na mabadiliko haya.. wewe unasema tusijiandae maana ajira zitakuwepo hizi hizi kama leo...

Ungeuliza Nani kakupa akili ya kujifunza hizo namba na Alphabert?

Hata Wazungu wapo wasiojua kusoma na kuandika

Akili za kujifunza hayo na kuandika na kunijibu umepewa na Nani?
 
kwa jinsi ulivyosema Mkuu...
Ina maana pia hata kazi za Engineering zinaweza fanywa na ROBOT,Baada ya ku design then ROBOT Anafanya manua work zote,huko Viwandani,na hata ujenzi pia.
Cc;
SuperSub
Upepo wa pesa
Yah angalia kiwanda cha kutengeneza magari cha TESLA ni roboti zinazotengeneza magari, binadamu anakuja kuvunga equipments kama zile display za navigation kwenye dashboard na kuweka seats gari iliwa tayari kuanzia engine mpaka board na bado Elon Musk anadai anataka kiwanda kiwe 95% automated
 
tatizo mnanishambulia bila research.. nimeweka link nilipotoa taarifa.. mzisome hizo link ndio tushauriane tujipangaje..

badala ya kuwaza tujipangeje nyinyi mnashambulia kulilia ajira ziwepo huku dunia inahama inapunguza ajira zetu..

ubaya wa teknology haitaki watu wengi.. kazi inayofanywa na watu 1000 inawezwa fanywa na watu 10 tu wakiwekewa teknology nzuri.. je hao 990 wanaenda wapi?? ndio hoja hiyo

sio kila kilicho andikwa nje ni bora na kinatufaa hapa tz na kuzani tupo katika state of emergency kuchange mambo. hizo ni research zitumie katika uharisia na mazingira ya ki tanzania. je unazani after 10yrs, uhasibu utakuwa replaced na robot hapa tanzania?
 
ukisoma heading tu ya uzi wangu ungejua namaanisha nini... ila sababu hutaki kubadilika unakomalia ajira ziwepo tu na teknology sio ishu.. endelea kuamini hivyo.... nimesema wahasibu tunajiandaaje na mabadiliko haya.. wewe unasema tusijiandae maana ajira zitakuwepo hizi hizi kama leo...

Unajua maana ya Lacuna kwny research?

Sio kila findings za Research tunapaswa kusubiri research kukosoa?

Kuna Tafiti ziliwahi kusema asili yetu ni Nyani Kwa hiyo tusubiri research nyingine ndio tuseme asili yetu sio Nyani?
Kwny comment yangu ya awali nimekuanishia maeneo ambayo Hakuna technology ya kuja ku replace mfano Uhalifu wa Njia ya collusion kwny uhasibu hapo inahitajika logical reasoning and thinking kutambua

Au Kama hukuelewa kule kwa ufupi nikueleze kuwa kazi yoyote ya kihasibu au nyingine yoyote inayohitaji reasoning badala ya rules au principles Hakuna technology ya kuja ku replace, Mf .hakuna technology ya kuja ku replace kazi za ma Advocate au Waandishi wa habari

Kama una hoja jibu hoja sio kusema Sijui Nina akili zaid ya Mzungu, Wewe umeleta hapa tujadili Halafu Mtu akikosoa unauliza Maswali ya Kibwege Eti ninawazidi wazungu walioleta huo uhasibu?
 
sio kila kilicho andikwa nje ni bora na kinatufaa hapa tz na kuzani tupo katika state of emergency kuchange mambo. hizo ni research zitumie katika uharisia na mazingira ya ki tanzania. je unazani after 10yrs, uhasibu utakuwa replaced na robot hapa tanzania?
Mkuu inawezekana japo siyo 100% lakini kwa sasa mambo mengi yanawahi kufika huku tofauti na zamani na kumbuka siyo robots bali ni softwares.
Hivyo unaweza kukuta firm inaamua kufunga system ya software ambayo kama walihitajika wahasibu wanne basi atahutajika mmoja tu mengine software itayafanya yote.
Wenzetu waneanza kutumia hata AI kwenye masuala ya kisheria hada Law Firms
 
Habari wadau..

Binafsi ni mhasibu kwa taaluma..

Nimesoma research ya PWC, research ya Oxford university, research ya kpmg, na research nyingi za vyuo tofauti..

Zinaonesha kwamba IT technology aka robot accountant ndio watafanya kazi za uhasibu zote kuondoa human error na ku cut cost... sababu uhasibu ni jobs zinazofata principles.. so ni sahihi na rahisi kuweka principles kwenye software au erp, yenyewe ikatengeneza Financial statement na kila report hadi hesabu za kodi bila makosa kuliko kuendelea kutumia binadamu.

Wanahisi miaka inayokuja mahitaji ya wahasibu yatapungua sana na kufikia 10 yrs to 20 ijayo ndio hatutahitajika tenaa.

Na hii itaendana na taaluma zote ambazo zinafata principles kufanya kazi.. eg. bank tellers watakuwa replaced na ATM zinazo deposit hela na kutoa hela na cashless payment inayo grow kwa kasi

Link ya PWC hii hapa

Accounting jobs most at risk from automation, warns PwC | Accountants Daily

Oxford university link

47% of Jobs Will Disappear in the next 25 Years, Says Oxford University

Na dalili zimeanza kuonekana Tanzania mtu una CPA ila mwajiri anaringa anakwambia mshahara mdogo sana na kama hutaki acha kazi... sababu anajua hatuna umuhimu kama zamani sababu ya technology....
hiyo miaka 25 ijayo ni leooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
wewe ni mbishi hujui unabisha nini.. soma uzi wangu kutoka juu mpaka chini... nimeandikaje.. hakuna sehemu niliyosema kazi za reasoning zitakuwa replaced.. hebu kasome tena mwanzo mwisho


Unajua maana ya Lacuna kwny research?

Sio kila findings za Research tunapaswa kusubiri research kukosoa?

Kuna Tafiti ziliwahi kusema asili yetu ni Nyani Kwa hiyo tusubiri research nyingine ndio tuseme asili yetu sio Nyani?
Kwny comment yangu ya awali nimekuanishia maeneo ambayo Hakuna technology ya kuja ku replace mfano Uhalifu wa Njia ya collusion kwny uhasibu hapo inahitajika logical reasoning and thinking kutambua

Au Kama hukuelewa kule kwa ufupi nikueleze kuwa kazi yoyote ya kihasibu au nyingine yoyote inayohitaji reasoning badala ya rules au principles Hakuna technology ya kuja ku replace, Mf .hakuna technology ya kuja ku replace kazi za ma Advocate au Waandishi wa habari

Kama una hoja jibu hoja sio kusema Sijui Nina akili zaid ya Mzungu, Wewe umeleta hapa tujadili Halafu Mtu akikosoa unauliza Maswali ya Kibwege Eti ninawazidi wazungu walioleta huo uhasibu?
 
wewe ni mbishi hujui unabisha nini.. soma uzi wangu kutoka juu mpaka chini... nimeandikaje.. hakuna sehemu niliyosema kazi za reasoning zitakuwa replaced.. hebu kasome tena mwanzo mwisho

Kasome paragraph ya kwanza ya comment namba 25, halafu jiulize Msingi wa kupinga comments zangu ni ipi?
Usikariri ukileta thread Basi lazima tuunge Mkono 100%
 
Mkuu inawezekana japo siyo 100% lakini kwa sasa mambo mengi yanawahi kufika huku tofauti na zamani na kumbuka siyo robots bali ni softwares.
Hivyo unaweza kukuta firm inaamua kufunga system ya software ambayo kama walihitajika wahasibu wanne basi atahutajika mmoja tu mengine software itayafanya yote.
Wenzetu waneanza kutumia hata AI kwenye masuala ya kisheria hada Law Firms

brother you are pacing on truth boundary, think about application to what u strongly believe. 10-25yrs still ki africa is fare tell.

technology is threat to any sector, even family level. but dont seat aside and wait for tech to do thing, wont happen very early it will buy huge time.

do what you do best, those research are there and still more will come
 
Ndege nyingi zina automatic pilot ,na bado inatakiwa kuwa na Marubani wawili.na hiyo technologia imekuwepo miaka mingi tuu.Robot kuchukua nafasi ya binadamu kabisa bado sana.Robot ni msaidizi kichwa atabaki binadamu
 
Haita tokea hata siku moja machine ikamuongoza mwadamu hiyo haipo usijidanganye my friend kwani hizo machine zitajioperate zenyewe!!robot wanatumika kuassembel magari huko nje hebu jiulize wakati kazi ya robot ilipofanywa na mwanadamu je kwenye hivyo viwanda idadi ya wafanyakazi imepungua au imeongezeka
 
Hiyo ya bank tellers kuwa replaced na atm zinazo deposit hela tayari,bado huku kwetu.na kwa jinsi hali ya uchumi inavyozidi kuwa ngumu,hata mabenki yote yatahamia kwenye mifumo hiyo.
 
brother you are pacing on truth boundary, think about application to what u strongly believe. 10-25yrs still ki africa is fare tell.

technology is threat to any sector, even family level. but dont seat aside and wait for tech to do thing, wont happen very early it will buy huge time.

do what you do best, those research are there and still more will come
Mkuu technology zinafuta baadhi ya kazi na kutengeneza kazi mpya, kwa maelezo ya jamaa ni kweli inawezekana kabsa ndani ya miaka kumi kama kampuni ilihitaji wahasibu 5 ukashangaa kuna mmoja.
Nitakupa mfano mdogo, wakati usajili wa line umeanza mawakala walikuwa wanajaza kwenye makaratasi wanabandika na picha wanapeleka kwenye kampuni ya simu kule kuna watu wa kufeed zile data kutoka kwenye karatasi kwenda kwenye system.
Haijapita hata miaka 10, leo kila kampuni wakala wake ana app anakupiga picha kwa app ya simu anajaza info kwa app ya simu kila kitu anamaliza hapo hapo anapiga picha kutambulisho chako taarifa zinaenda moja kwa moja kwenye system.
We wadhani hizo app zilizo interacted na system ya usajili zimeua ajira ngapi?
Ina maana wale waliokuwa wanachukua makaratasi wanaanza ku feed zile data kwenye system hawahitajiki tena na kumbuka hawakuwa haccurate mimi nimewahi fanya hiyo kitu mwaka 2010, tulikuwa tunalipwa kwa kila karatasi unajikuta unafeed fasta fasta ili tu upate pesa nyingi sometimes wakosea mpaka majina au umri wa mtu twende kazi.
 
na bado kuna watu wanaendelea soma....
ila bora usome kupata knowledge tu kama unataka kuwa na biashara
ukisoma ili upate ajira hakika utalia siku za usoni....

deal sasa iko kwenye siasa


TZ Bado sanaaaa!
 
Ndege nyingi zina automatic pilot ,na bado inatakiwa kuwa na Marubani wawili.na hiyo technologia imekuwepo miaka mingi tuu.Robot kuchukua nafasi ya binadamu kabisa bado sana.Robot ni msaidizi kichwa atabaki binadamu
Automation inaua ajira kama kulihitajika watu kumi unakuta kunahitajika watu wawili tu.
Mfano system ya train ya singapore, unakuta mfumo mzima unaongozwa na watu watatu kwenye control room wakat train ni nyingi na hazina dereva wala nini zikiwashwa control room zinaanza kazi tu
 
sio kila kilicho andikwa nje ni bora na kinatufaa hapa tz na kuzani tupo katika state of emergency kuchange mambo. hizo ni research zitumie katika uharisia na mazingira ya ki tanzania. je unazani after 10yrs, uhasibu utakuwa replaced na robot hapa tanzania?

Watu kama nyinyi ni wabishi mno hadi yawakumbe ndo muelewe
Tanzania sio kijiji....na kwa taarifa yako yashaanza kutokea hapahapa Tz
waulize wafanyakazi wa Baclays Tz walivyopunguzwa na baadhi ya kazi zao kuhamishiwa India....na hata sasa kuna hatari ya wafanyakazi wengi wa NBC kupunguzwa kwa maamuzi ya nje ya TZ...

Uliza Airtel baadhi ya kazi zinafanywa moja kwa moja kutoka India now...

Ufanyaji kazi kama zamani unapotea.....outsourcing ya nje ya nchi
au technology ku take over umeshaanza hadi hapa TZ
 
Mkuu technology zinafuta baadhi ya kazi na kutengeneza kazi mpya, kwa maelezo ya jamaa ni kweli inawezekana kabsa ndani ya miaka kumi kama kampuni ilihitaji wahasibu 5 ukashangaa kuna mmoja.
Nitakupa mfano mdogo, wakati usajili wa line umeanza mawakala walikuwa wanajaza kwenye makaratasi wanabandika na picha wanapeleka kwenye kampuni ya simu kule kuna watu wa kufeed zile data kutoka kwenye karatasi kwenda kwenye system.
Haijapita hata miaka 10, leo kila kampuni wakala wake ana app anakupiga picha kwa app ya simu anajaza info kwa app ya simu kila kitu anamaliza hapo hapo anapiga picha kutambulisho chako taarifa zinaenda moja kwa moja kwenye system.
We wadhani hizo app zilizo interacted na system ya usajili zimeua ajira ngapi?
Ina maana wale waliokuwa wanachukua makaratasi wanaanza ku feed zile data kwenye system hawahitajiki tena na kumbuka hawakuwa haccurate mimi nimewahi fanya hiyo kitu mwaka 2010, tulikuwa tunalipwa kwa kila karatasi unajikuta unafeed fasta fasta ili tu upate pesa nyingi sometimes wakosea mpaka majina au umri wa mtu twende kazi.

Watu wabishi mno ..Tanzania sio kijiji
juzi tu hapo Kenya nadhani madereva taxi walikuwa wanataka serikali iwasaidie
kupambana na UBER.....

sasa hawa wabishi wa humu ungewaambia kuna app tu huko USA inakuja
Tanzania kuwaondoa kwenye biashara yao ya udereva wangekubishia...
 
Dunia inalekea kwenye historia ya mapinduzi makubwa kabisa ya kiuchumi...kwa kasi hii ya ukuaji wa teknolojia ya automation and artificial intelligence wakati unakuja people will earn without working. This is going to radically transform our societies....though with a highly improved efficiency and productivity, i highly doubt whether it is for any good, It may be the doom of humanity as we know it!
 
Back
Top Bottom