Ngussa makandi
Member
- Mar 7, 2017
- 11
- 13
Leo nimefutwa na mwenyekiti wa kitongoji na kutakiwa nilipe mchango wa shilingi 15000 kwa ajiri ya ujenzi wa madarasa, lakini rist aliyokuwa nayo imeandikwa mapato ya kijiji je siwa kumpa hiyo hela badala ya kunipa account no niende kulipia bank.
msaada wenu jamani kabla sijapelekwa mahakamani kwa kukaidi agizo la mkuu.
msaada wenu jamani kabla sijapelekwa mahakamani kwa kukaidi agizo la mkuu.