TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,730
- 21,126
Amani kwako ndg mdau.
Kuna account naiona tweeter inaonekana haina hata wiki ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere cha kushangaza naona imelipiwa as promoted account.
Sijaelewa ipo chini ya nani au imeanzishwa na kuendeshwa kwa makusudi gani?
Kuna mdau humu anayefahamu malengo ya hii account?.
Kuna account naiona tweeter inaonekana haina hata wiki ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere cha kushangaza naona imelipiwa as promoted account.
Sijaelewa ipo chini ya nani au imeanzishwa na kuendeshwa kwa makusudi gani?
Kuna mdau humu anayefahamu malengo ya hii account?.