Account ya Fb ya Malisa GJ ndo hivyo tena

Issue ya kuhamisha wanyama kwenda Chato Malisa ali ipost na ilipata wachangiaji wengi sana na wengi walichukizwa mno na jambo hilo, waliandika comment za kuudhi kwa watawala, nadhani inaweza kuwa sababu, maana kuna mmoja alisema jiwe asogeze mipaka ya chato ifike ziwa victoria na apandishe hadhi ya ziwa kuwa bahari, wengi waliponda...
 
Taratibu wanainyemelea na Jf kabla hawajaifunga nitaprint threads za Pascal Mayalla Kiranga Kalamu1 barafu

Niwe najisomea
Eeenh. Kuifunga JF haitashangaza kamwe.

Nadhani waliiacha iendelee kwa mda wakiwa na matumainii akina 'Magonjwa', "Jinga', Cocochannel na wengineo wangeweza kuweka ushawishi humu na kuchota akili za watu. Matokeo ya kazi zao yamekuwa hafifu, kwa hiyo wakiamua kufunga wakidhani watazuia 'damage' isiendelee, itakuwa ni kujisumbua.

Njia pekee iliyopo; wasidhani wamechelewa mno kubadili mwelekeo wao. Yapo mazuri wanayafanya, hasa hayo ya 'vitu' ambayo wengi wanaweza kuyakubali, hata kama wanatumia njia mbaya za kuyatekeleza. Wanakotakiwa kujirekebisha zaidi ni mienendo yao ya ukandamizaji, uonevu na mengi kama hayo yanayoleta mitafaruku katika nchi yetu.

Wawe jasiri sasa hivi na kuwaendea waTanzania na kuwaomba radhi na kunyoosha njia zao katika kutenda. Inawezekana wakasemehewa.

Kubwa zaidi kuliko yote hayo, kwa maoni yangu. Umoja wa waTanzania hautakiwi kuchezewa na mtu yeyote. Wasitake kuwagawa waTanzania katika mafungu.
 
Taratibu wanainyemelea na Jf kabla hawajaifunga nitaprint threads za Pascal Mayalla Kiranga Kalamu1 barafu

Niwe najisomea

Issue ya kuhamisha wanyama kwenda Chato Malisa ali ipost na ilipata wachangiaji wengi sana na wengi walichukizwa mno na jambo hilo, waliandika comment za kuudhi kwa watawala, nadhani inaweza kuwa sababu, maana kuna mmoja alisema jiwe asogeze mipaka ya chato ifike ziwa victoria na apandishe hadhi ya ziwa kuwa bahari, wengi waliponda...

Lakini nafikiri mamlaka siyo chanzo kikuuu inagwa inaweza kuwa.Facebook walishaonya juu ya kutumia majina fake katika mtandao wao. kila siku wanafunga hizo account na Malisa alikuwa akitumia jina fake facebook. Jina lake ni Malisa Godlisten lakini amekuwa akitumia MALISA GJ Kitendo cha kutotumia majina yake mawili ni kinyume na policy za facebook zilikuwa updated hivi karibuni.
Facebook watu wengi wakiireport sana account yako wanaweza kuifunga kwa muda na kukutaka mhusika kuwasilisha ID zinazoendana na majina yako.. Mfano kama wewe ni malisa godlisten na ID zako official zimeandikwa jina hilo unatakiwa kutumia jina hilo .

Kama unataka kutumia fake name au jina bandia (kama alivyokuwa akitumia malisa) wanashauri utumie jina lako halisi kucreate page ya jina unalotaka basi . Mfano malisa gj ingekuwa page badala ya real name

Hiyo page yako ikikuka policy wataifunga kwa muda,au jumla kulingana na kosa lakini personal account itabaki.


Note: Mimi hata humu JF natumia jina langu halisi
M.Byabato
 
Lakini nafikiri mamlaka siyo chanzo kikuuu inagwa inaweza kuwa.Facebook walishaonya juu ya kutumia majina fake katika mtandao wao. kila siku wanafunga hizo account na Malisa alikuwa akitumia jina fake facebook. Jina lake ni Malisa Godlisten lakini amekuwa akitumia MALISA GJ Kitendo cha kutotumia majina yake mawili ni kinyume na policy za facebook zilikuwa updated hivi karibuni.
Facebook watu wengi wakiireport sana account yako wanaweza kuifunga kwa muda na kukutaka mhusika kuwasilisha ID zinazoendana na majina yako.. Mfano kama wewe ni malisa godlisten na ID zako official zimeandikwa jina hilo unatakiwa kutumia jina hilo .

Kama unataka kutumia fake name au jina bandia (kama alivyokuwa akitumia malisa) wanashauri utumie jina lako halisi kucreate page ya jina unalotaka basi . Mfano malisa gj ingekuwa page badala ya real name

Hiyo page yako ikikuka policy wataifunga kwa muda,au jumla kulingana na kosa lakini personal account itabaki.


Note: Mimi hata humu JF natumia jina langu halisi
M.Byabato

Walau huyu kaandika kitaalamu. safi sana
 
Back
Top Bottom