Account ya Dogo Jembe imeingiliwa, Je sisi wengine tutapona?

Hakuna kuingiliwa mzee....jamaa kapost mwenyewe sasa anaona moto umewaka anajaribu kuuzima

Ujinga tu, alipost kwa hasira sasa washauri wamewambia kachemka itamharibia , ndo anazuga, mara anapongeza kasi..ni mjinga fulani tu, opportunist.
 
Mbona hakutoa hilo tamko la kuingiliwa immediately, mpaka watu wamecharuka ndio ajidai aliingiliwa?
 
Dogo Jembe angelikanusha tangu siku ya kwanza zile katuni zilipowekwa tungelimuelewa lakini anapojaribu kuzima moto wakati maji yashachemka ni wazi ametingisha mafiga na maji ya moto yatamuunguza
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom