kibhopile
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 1,505
- 753
Hapa hamna Elimu ulioitoa zaidi ya uwongo na kujaribu kujificha kwenye esoteric world.
Sent using Jamii Forums mobile app
You really sound envious Mkuu. Otherwise save that kwa kutupa unachojua. Give us what you know na sisi ndo tutachambua na kujua nani muongo. Usijisikie vibaya kama watu wanajua kitu ambacho ulihisi wewe pekee Ndo unakijua wakati hapo hapo umesema kila knowledge ipo ndani yetu sote.
Sent from my iPhone using JamiiForums