Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,600
- 1,567
Wakuu, naomba mnishauri, niko Pwani, nili apply access bank na nimeitwa kwenye usahili ambao unachukua siku 6 hadi 10, Mbeya.
Na kama mjuavyo gharama ziko juu.
Je nijaribu kwenda, au nisubiri next opportunity?
Na kama mjuavyo gharama ziko juu.
Je nijaribu kwenda, au nisubiri next opportunity?