Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Wanadanganyana sana hawa jamaa wanasema hali tete sijui hali tete ipi na mahindi huku mitaani yameshuka ndoo mpaka 8000 na mpaka 4000 yatafiika yaani wananchi wameshiba
Hivi Mbowe hajui kwamba wamachinga aliowatumia kama mtaji wa kisiasa Leo hii wapo busy kuuza bidhaa mitaani
Kweli yaweza kuwa hali tete kwa majizi na Mabeberu yao lakini wakubali tu kuwa huu nao ni wakati wa Nyani kula bata
Mbowe wananchi wanakushangaa sana unaposema hali tete yaani wanakushangaa mnoo kubali tu kwamba Chama kimekufia mikononi na hauna jinsi
Hivi Mbowe hajui kwamba wamachinga aliowatumia kama mtaji wa kisiasa Leo hii wapo busy kuuza bidhaa mitaani
Kweli yaweza kuwa hali tete kwa majizi na Mabeberu yao lakini wakubali tu kuwa huu nao ni wakati wa Nyani kula bata
Mbowe wananchi wanakushangaa sana unaposema hali tete yaani wanakushangaa mnoo kubali tu kwamba Chama kimekufia mikononi na hauna jinsi