Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,962
- 22,333
- Thread starter
- #21
Niliomba kazi BOA na upon submission of my CV nlijua fika sitopata ile kazi. I guess yule mmama aliitupa ile bahasha yangu ya khaki. Maswali aliyoniuliza kuhusu dini yangu ni ya ajabu sana maana jina langu linaashiria fika Mimi ni Muslim.Katika nchi yetu toka ipate uhuru sijawahi kusikia kigezo cha udini kikiwa listed wazi wazi kama ulivyo fanya wewe,ila mimi nakupongeza kwa kutokuwa mnafiki wa kuficha hisia na hurka zako za udini.
By the way sio hulka yangu kama ulivyosema Bali ni matakwa ya mradi na yana mashiko haswa. All 171 students across 8 classes are Muslims. Watoto watahitaji malezi katika misingi ya kiislam pia. Last month tuliwafanyia interview watu wengi tu tena from hapa hapa JF na waliopata kazi 3 of them are Christians.