Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,962
- 22,333
Habari zenu wadau,
Kuna nafasi moja ipo wazi na inahitaji kujazwa as soon as it can be! Nafasi hii kwa mfumo wetu ni ya "academic manager"
Shule husika ina madarasa nane ambayo mawili ni kindergaten na madarasa 6 ni ya primary. Academic manager atakuwa na majukumu ya kuhakikisha day to day activities are well accomplished, he/sh will be working closely with teacher mentor ambae yupo tayari on site, he/she will be in charge of assigning tasks to volunteers who are mostly foreigners, he/she will be reporting to foundation manager and will be attending the weekly management meeting in a weekly basis, and he/she will be responsible for all other tasks assigned by the foundation manager.
Sifa za kwanza muhimu ni :-
(i) awe ni mwalimu by proffession na awe na ngazi ya degree au master degree
(ii) Awe na uzoefu wa kuwa katika nafasi za uongozi kwa miaka isiyopungu miwili.
(iii) awe na extrra-ordinary ability and capability in English language in both writing and speaking skills.
(iv) Awe na uwezo wa kutumia computer vizuri
Incentives:-
(i) Very good and competitive salary
(ii)Accommodation will be provided during the probation period which is (three - six months)
(iii) Three meals per day will be provided during the probation period excluding drinks
(iv) The school is located by the beach and the working environment is the best
Males are encouraged to apply japo wadada pia mnaruhusiwa, candidates with no families are encouraged to apply, muslims are encouraged to apply though Non- muslims can apply too.
Please kwa wanao-qualify tu ndio waje PM kwa ajili ya contact za kutuma application zao.
Kuna nafasi moja ipo wazi na inahitaji kujazwa as soon as it can be! Nafasi hii kwa mfumo wetu ni ya "academic manager"
Shule husika ina madarasa nane ambayo mawili ni kindergaten na madarasa 6 ni ya primary. Academic manager atakuwa na majukumu ya kuhakikisha day to day activities are well accomplished, he/sh will be working closely with teacher mentor ambae yupo tayari on site, he/she will be in charge of assigning tasks to volunteers who are mostly foreigners, he/she will be reporting to foundation manager and will be attending the weekly management meeting in a weekly basis, and he/she will be responsible for all other tasks assigned by the foundation manager.
Sifa za kwanza muhimu ni :-
(i) awe ni mwalimu by proffession na awe na ngazi ya degree au master degree
(ii) Awe na uzoefu wa kuwa katika nafasi za uongozi kwa miaka isiyopungu miwili.
(iii) awe na extrra-ordinary ability and capability in English language in both writing and speaking skills.
(iv) Awe na uwezo wa kutumia computer vizuri
Incentives:-
(i) Very good and competitive salary
(ii)Accommodation will be provided during the probation period which is (three - six months)
(iii) Three meals per day will be provided during the probation period excluding drinks
(iv) The school is located by the beach and the working environment is the best
Males are encouraged to apply japo wadada pia mnaruhusiwa, candidates with no families are encouraged to apply, muslims are encouraged to apply though Non- muslims can apply too.
Please kwa wanao-qualify tu ndio waje PM kwa ajili ya contact za kutuma application zao.