Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,180
Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item
Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".
Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.
My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.
2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.
3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.
4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.
5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.
Paskali
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item
Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".
Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.
My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.
2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.
3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.
4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.
5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.
Paskali