Acacia yakanusha tuhuma kudaiwa kodi

Msolopagazi

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
663
153
Kampuni la uchimbaji madini la Acacia limekanusha tuhuma za ukwepaji kodi zilizotolewa mapema wiki hii na kusema kwamba wenyewe hawa husiki na wala hawadaiwi chochote na serikali kwani kodi hiyo wa natakiwa kuanza kulipa mwaka 2018 kutokana na uwekezaji waliofanya wa dola bil 3.2 kwani Bado hawajarudisha hela yao Source mie mwenyewe eneo la tukio Ngoja tuone Magufuli Atafanya nini.
 
basi sheria katika kodi za madini mbovu mbovu sana mtu anauza nyanya kesho wanataka kodi hawa wa madini tena hayaozi wanasema mpaka warudishe gharama za uwekezaji biashara ingekua ivyo hakuna ambae angepata hasara..
 
Kumbuka mikataba hii watu walisainia hotelini washakula mvinyo na ten percent
 
kwa hiyo toka jina la barrick na leo acacia hakuna kodi tuliopata naomba ufafanuzi ila nilipowasikia kuweka makao makuu Tanzania nikajua tuu wawe karibu na shamba lao..
 
Iwapo acacia wanadaiwa kodi walipe maana hamna jinsi kodi kwa maendeleo ya taifa
 
Uwekezaji gani uliofanywa wa dola bil3.2 , mbona masihara sasa bilion 3.2 usd kweli wanatania
Aisee hizo hela ni kama 6.5 trilion .yaan hadi huko kwetu kilimanjaro harufu ya huo uwekezaji tungeusikia huo uwekezaji ni zaidi ya 25% ya bajet yetu ya 2015/16
 
kwa hiyo toka jina la barrick na leo acacia hakuna kodi tuliopata naomba ufafanuzi ila nilipowasikia kuweka makao makuu Tanzania nikajua tuu wawe karibu na shamba lao..
Hawa jamaa siyo kwamba waliweka makao yao Tanzania bali walitoka mafichoni masaki wakahamia pale Victoria Acacia tower lakini makao yao makuu ni London wana ofisi Joburg na Dar ambazo Wanasema ni za logistic tu not head quarters so wanadai wanafata sheria za kimataifa kwanza zinazowalinda siyo za Tz inaonekana ili walinde maslahi yao sasa mambo yamegeuka wamepagawa.
 
Iwapo acacia wanadaiwa kodi walipe maana hamna jinsi kodi kwa maendeleo ya taifa
Tatizo LA nchi yetu sio acacia wala IPTL. Kama watu waliopitisha sheria zenye kuleta haya tunayojadili Leo, ndio hao wasio na Huruma wanakwenda kuombaomba virushwa tena kwenye mashirika masikini kabisa ya Umma.

Hata ile clip ya Magu kabla hajachukua form alivyokuwa anajadili mambo ya migodi alivyomuuliza mtaalam tatizo ni nini, alijibiwa ni mambo hayohayo waliyoyasaini.
 
Hawa jamaa siyo kwamba waliweka makao yao Tanzania bali walitoka mafichoni masaki wakahamia pale Victoria Acacia tower lakini makao yao makuu ni London wana ofisi Joburg na Dar ambazo Wanasema ni za logistic tu not head quarters so wanadai wanafata sheria za kimataifa kwanza zinazowalinda siyo za Tz inaonekana ili walinde maslahi yao sasa mambo yamegeuka wamepagawa.
Sheria za hapa hapa ndio zimewapa nguvu ya kutolipa hiyo kodi. Acha kupotosha.
Tujadili facts
 
hawa kwao huko wanawafunga wakwepa kodi huku kwetu ndio vinara wa kuwashawishi viongozi wetu ni Nchi gani ambayo utachukua madini buree bila kulipa kodi kama sio Tanzania tuu kuna miaka walikua wanabeba mchanga makontena yanaenda japan buree kabisa bila hata malipo yoyote ya cent..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom