hekimanyingi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 679
- 573
Wale wabunge mazwazwa anajisemea Zitto Kabwe ndiyo wanaweza kuropoka tu. Yaani thamani ya kampuni mama yenyewe ni trillion 50, halafu walipe tz trillion 35. Watz sijui tumelogwa. Kwa masikio hamsikii na macho pia hamuoni?