Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,296
- 7,603
kumbafuHuyo kilema kashaapoteza kilichobaki Dj kumla na mkewe watifuane vyema maana huko kunduchi bahar imelala dorooooo....apige debe kwa nguvu ipi tena
kumbafuHuyo kilema kashaapoteza kilichobaki Dj kumla na mkewe watifuane vyema maana huko kunduchi bahar imelala dorooooo....apige debe kwa nguvu ipi tena
Yaani hawa jamaa wanatembea barabara mbili kwa mpigo ya mazungumzo kupitia Barick na ya kesi kupitia Mahakama za Nje. Inabidi tuwakabili na sisi tuwe tayari. Tahadhari ya TL tusi ipuuze, tuwe tayari kwa lolote.Ripoti ya ACACIA ya juzi Tar 20 Oktoba 2017 wamesema Bulyanhulu na Pangea Minerals KILA MMOJA amefungua mashtaka ili kutetea maslahi na haki yake kwa mujibu wa dispute resolution process zilizokubaliwa na wao na Gov ya Tz. Wameomba TRA wawape "mkokotoo" walioutumia "kuwabambikizia deni la trilions" lakin report inasema mpaka sasa hawajapatiwa. Hakuna namna. Tisubiri wito mahakama ya kimataifa, Lissu alisema.
View attachment 613946
Na upuuzi wetu ndo unaanya mwisho wa siku wanakamata mali zetu sisi huku tunabaki tunawindana eti kwa usaliti badala ya kutumia akiliYaani hawa jamaa wanatembea barabara mbili kwa mpigo ya mazungumzo kupitia Barick na ya kesi kupitia Mahakama za Nje. Inabidi tuwakabili na sisi tuwe tayari. Tahadhari ya TL tusi ipuuze, tuwe tayari kwa lolote.
Ahsante GT wa JFHuyo kilema kashaapoteza kilichobaki Dj kumla na mkewe watifuane vyema maana huko kunduchi bahar imelala dorooooo....apige debe kwa nguvu ipi tena
Jamaa hapo wametumia plan moja tu,nadhani wana plani zaidi ya kumi za kutumalizaYaani hawa jamaa wanatembea barabara mbili kwa mpigo ya mazungumzo kupitia Barick na ya kesi kupitia Mahakama za Nje. Inabidi tuwakabili na sisi tuwe tayari. Tahadhari ya TL tusi ipuuze, tuwe tayari kwa lolote.
Huyo kilema kashaapoteza kilichobaki Dj kumla na mkewe watifuane vyema maana huko kunduchi bahar imelala dorooooo....apige debe kwa nguvu ipi tena
Picha bado linaendelea kumbe teh
mi simoNi kweli kweli kabisa mkuu,mambo mengi hayapo sawa ikiwemo akili ya mkubwa.
Hahahaaa,tatizo liko engine roomNi kweli kweli kabisa mkuu,mambo mengi hayapo sawa ikiwemo akili ya mkubwa.