papaa musofe
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 842
- 1,475
Acacia walitoa notisi ya kutupeleka mahakama ya kimataifa wakitudai trilioni tano.
Hakuna taarifa kwamba notisi hiyo imeathiriwa na mazungumzo ya Barrick ambayo Acacia ni kama hawayatambui(unamdai Juma, huongei naye, unaongea na Masanja, halafu uliyoongea na Masanja unataka Juma ayatimize)
Je Barrick watatupa bilioni 700 halafu kwa mlango wa nyuma wanavuta trilioni tano kupitia Acacia?
Hakuna taarifa kwamba notisi hiyo imeathiriwa na mazungumzo ya Barrick ambayo Acacia ni kama hawayatambui(unamdai Juma, huongei naye, unaongea na Masanja, halafu uliyoongea na Masanja unataka Juma ayatimize)
Je Barrick watatupa bilioni 700 halafu kwa mlango wa nyuma wanavuta trilioni tano kupitia Acacia?