ACACIA: Tutafunga mgodi kama hakutakuwa na makubaliano hadi kufikia Septemba

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,172
23,975
Pamoja na kuyasema hayo, Mkurugenzi wa ACACIA, Brad Gordon amesisitiza kuwa majadiliano ya Barrick Gold na Serikali ya Tanzania yatawashangaza wengi kwa sababu ana matumaini makubwa pande zote mbili zitakubaliana kutokana na ukweli kuwa kila upande una mengi ya kupoteza kama hawatakubaliana kwa kupitia meza ya majadiliano.

Hata hivyo anasikitika kwa kampuni yake ya ACACIA kuachwa kuingizwa kwenye mazungumzo na anadai kama pande mbili zitakuwa hazijakubaliana kufikia septemba inawabidi wafunge mgodi na kusubiri hatma ya majadiliano ili kupunguza mrundikano wa makanikia na gharama za utunzaji.

Ieleweke kuwa majadiliano yatahusu Barrick Gold na Serikali ya Tanzania kwa sababu Barrick Gold ndiye mwenye hisa nyingi.

Matokeo ya Ijumaa yameonyesha kuwa mapato kwa miezi sita yameshuka mpaka $176 milioni kutoka $318 mwanzoni mwa mwaka kwa sababu hawawezi kuuza makanikia yenye ounces 127,000 za dhahabu na unga.

Kwa muda wa miezi sita mpaka Juni, mapato yameshuka kwa asilimia 22 na kuwa $391.7 milioni wakati faida kabla ya kodi ilishuka kwa asilimia 2 na kuwa $99.5 milioni.

Hisa zimeendelea kudondoka na kuanzia Machi hisa za ACACIA zimedondoka kwa asilimia 50 na bei ya kampuni kwa sasa iko chini ya £1 bilioni.

Kwa wale mnaojua kiingereza mnaweza kusoma zaidi;
Acacia Mining, one of the largest gold producers in Africa, will be forced to close its flagship mine in Tanzania unless the government lifts an export ban that has seen the company chew through almost half its cash pile in the past six months.

The FTSE 250 company, which is majority owned by Barrick Gold, has been involved in a bitter dispute with Tanzania’s President John Magufuli since he banned exports of unprocessed ores in March as part of a plan to promote the development of domestic smelting.

Brad Gordon, Acacia’s chief executive, said on Friday that the company would be “prudent” to mothball the Bulyanhulu mine if negotiations with the east Africa nation had not been concluded by the end of September.

“We have to protect our cash pile,” Mr Gordon said as the company released interim results.

Tanzania has accused Acacia, one of the country’s largest private employers, of operating illegally and failing to pay billions of dollars of taxes; the company has denied the charges.

In June, Tanzania agreed to start discussions with Barrick to try and settle the dispute, which has wiped £1bn off Acacia’s market value over the past six months.

Mr Gordon said he was disappointed not to be involved in the negotiations with the government but was confident of a positive outcome because both sides had too much to lose.

“We could be sitting here at the end of the year in a very different space,” he said.

Friday’s results showed Acacia’s cash position had fallen to $176m at the end of June, down from $318m at the beginning of the year, because it has been unable to sell 127,000 ounces of gold concentrate, or powder.

In the six months to June, revenue fell 22 per cent to $391.7m, while pre-tax profits were down just 2 per cent to $99.5m supported by “strong cost discipline”. Acacia did not declare an interim dividend because of the export ban.

“While the cash reduction is frightening, it is a natural reflection of the $1m a day that is being tied up in inventories while the export ban remains in place,” said Hunter Hillcoat, analyst at Investec Securities.

Acacia has invested more than $4bn in Tanzania over the past 20 years and operates three mines in the country. Bulyanhulu has been hit hardest by the export ban because almost half of its output is gold concentrate and it produces fewer valuable by-products such as copper.

Mr Gordon dismissed reports that two senior Acacia executives had been detained at an airport in Tanzania this week but said some of the company’s international contractors had faced difficulties getting work and residency permits.

Shares in Acacia fell 16 per cent, to a 17-month low of 234.5p on Friday. The shares are down 50 per cent since March and the company’s market value now stands below £1bn.
Source: Financial Times Newspaper.
 
Pamoja na kuyasema hayo, Mkurugenzi wa ACACIA, Brad Gordon amesisitiza kuwa majadiliano ya Barrick Gold na Serikali ya Tanzania yatawashangaza wengi kwa sababu ana matumaini makubwa pande zote mbili zitakubaliana kutokana na ukweli kuwa kila upande una mengi ya kupoteza kama hawatakubaliana kwa kupitia meza ya majadiliano.

Hata hivyo anasikitika kwa kampuni yake ya ACACIA kuachwa kuingizwa kwenye mazungumzo na anadai kama pande mbili zitakuwa hazijakubaliana kufikia septemba inawabidi wafunge mgodi ili kupunguza mrundikano wa makanikia na gharama za utunzaji.

Ikumbukwe kuwa majadiliano yatahusu Barrick Gold na Serikali ya Tanzania kwa sababu Barrick Gold ndiye mwenye hisa nyingi.

Matokeo ya Ijumaa yameonyesha kuwa mapato kwa miezi sita yameshuka mpaka $176 milioni kutoka $318 mwanzoni mwa mwaka kwa sababu hawawezi kuuza makanikia yenye ounces 127,000 za dhahabu na unga.

Kwa muda wa miezi sita mpaka Juni, mapato yameshuka kwa asilimia 22 na kuwa $391.7 milioni wakati faida kabla ya kodi ilishuka kwa asilimia 2 na kuwa $99.5 milioni.

Hisa zimeendelea kudondoka na kuanzia Machi hisa za ACACIA zimedondoka kwa asilimia 50 na bei ya kampuni kwa sasa iko chini ya £1 bilioni.

Kwa wale mnaojua kiingereza mnaweza kusoma zaidi;

Source: Financial Times Newspaper.
Wafanyakazi wa jiandae kuisoma namba,.. Jaman karibu ni mitaan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kulu alisema jana wakichelewa kuja kwenye mazungumzo tutafunga mgodi. acacia nae jana hiyo walisema september bila makubaliano tunafunga mgodi. sasa ngoma inanoga hapa. watuachie tu madini yetu hamna namna
Sema wakuachie tu "shimo" lako, uone ni jinsi gani utaliziba.

"PAMBANA NA HALI YAKO"
 
Tanzania has accused Acacia, one of the country’s largest private employers, of operating illegally and failing to pay billions of dollars of taxes; the company has denied the charges
Hapo ndipo urongo wa Magu na mazezeta wa lumumba unapodhihirika! Si mulituambia kuwa wamekubali kulipa? No wonder munainamishwa kusaini mikataba ya ajabu ajabu! Kumbe tatizo laweza kuwa Lugha!
 
Yeah! Negotiations will more likely result a win-win or lose-lose. Tuwe tayari kwa lolote maana sizo anapiga mkwara na wawekezaji pia wanafanya vivyo hivyo. Hatimaye ukweli utadhihiri; udhalimu na wizi vitakuwa wazi!
 
Hivi hiyo ACACIA si imesemwa ni non existence company? Sasa ni kwamba watafunga hewa au mimi ndio sijaelewa?

"PAMBANA NA HALI YAKO"
Ni tanzania tu "majambazi na makampuni hewa" hualikwa na serikali kwenye mazungumzo ili kuendeleza 'urafiki'
Wengi wanaobwabwaja hapa kuanzia mtoa mada mpaka wanaocomment wameshasahau hili!
Au hata kama wa nakumbuka hawawezi kujibu kitu!!
 
Aiseee haya bana hivi si walisema mazungumzo yanaanza sijui kesho kutwa... kumbe hiyo kesho kutwa haijafika hadi leo
 
Back
Top Bottom