ACACIA toeni hizo pesa haraka vijana tupiga teke umasikini

CHA The GREAT

JF-Expert Member
Nov 11, 2010
651
853
Enyi Barrick--ACACIA, wahisheni hayo mapesa mliyosema mtailipa nchi yetu. Tunayataka mapesa hayo hasa sisi vijana ili tujiajiri na ili tuweze kujikimu kimaisha. Ajira hakuna kwa sasa, vijana tunafukuzwa makazini kila siku na mifuko ya jamii bado imeshikilia mafao yetu kwa sababu ambazo ni za kuhuzunisha na kuchekesha kidogo. Kwa kuwa mimi si mbinafsi, na kwa kuwa nataka wote turidhike kwa kile kilichopo toka Barrick--ACACIA, nahitaji hela kiasi tu. Nitahitaji milioni 20/- tu za Kitanzania ili nianzishie kibiashara changu.
I'm still waiting for the mapesa from ACACIA right here at Kijiweni where unemployed people are.
 
amna shida mkuu ila ukiambiwa zimeishia mahospitalini na barabarani usishangae
 
Back
Top Bottom