Tetesi: Acacia keleta Askari Wazungu/Mamluki

SYLLOGIST!

JF-Expert Member
Dec 28, 2007
6,698
6,176
Katika kile ambacho kinazungumziwa na "Wanasheria" sasa wazungu kuletwa Kulinda mali na wafanyakazi(wazungu) wa Accacia

Kwa udadisi mfupi niliyofanya baada ya Accacia kutoa matamshi haya, "We have decided to outsource our security staff, because we believe that by doing so our people and assets will be protected in the best possible way" hayo yalisemwa na Meneja wa mawasiliano ya umma Nectar Foya wa Accacia.

Maoni yangu ni kuwa Vita hii bado itaendelea. Walakini, Kuna umuhimu wa bunge au vyombo vikuu vya serikali kuingilia haya tusije tukawa kama Ivory coast, au Angola.

Vivyohivyo, "Haingii akilini" kuwa hata ndani ya mikataba hiyo kunaruhusu kuleta Askari kutoka nje ili kuwalinda "wazungu" na mali "zetu" What a shame!

"Haiingii akilini" kuona jinsi hawa watu wachache( Uongozi wa Accaia Tanzania) wanavyoweza kuvunja heshima ya majeshi ya ulinzi wa Tanzania.

Kuna ulazima wa kuungana katika vita hii #TZ-Nomercenariesforourgold
 
Ntaishangaa serikali ikiruhusu hilo unless hao jamaa watoe sababu za maana. Hiyo itakuwa importation of employees Bila ulazima wowote pia ukwepaji mkubwa wa kodi maana contractor kwa watanzania kodi inakuwa chini sana PAYE kulinganisha hiyo waliyokuwa anapata waajiliwa wao wa acacia...
 
Mie nipo upande wa accacia ? Why mliwapa wenyewe sasa mnalia lia vita hii lazima fisi watoke madarakani

Upande ni wako wa kuchagua, hakuna kosa na hili.

Makosa ya hao "fisi" yataeleweka

Vita huwa inapigwa kwa pande mbili mfano fisi vs simba nakadhalika
 
Hapo ndipo najilaumu huyu mtu alichelewa wap? Na najua amezoa confidence ya kutosha na tecniques za kukwepa mishale dhidi ya hawa wezi wa ulaya toka kwa mzee poo wa kagame.
Nchi ina adab sasa hivi walau
 
Kikubwa hapa wote waliokuwa kwenye system kuanzia mlinzi had waziri walikuwa wanaendeshwa na hongo na kuruhusu mambo yaende vile walivyotaka..ila kwa sasa sysytem inabidilishwa hamna wizi wala kuhonga mtu,sasa wanatapa tapa waweke wao ili waibe, bt namuamin magu watadakwa tu
 
Ntaishangaa serikali ikiruhusu hilo unless hao jamaa watoe sababu za maana. Hiyo itakuwa importation of employees Bila ulazima wowote pia ukwepaji mkubwa wa kodi maana contractor kwa watanzania kodi inakuwa chini sana PAYE kulinganisha hiyo waliyokuwa anapata waajiliwa wao wa acacia...

Huwa kuna mapungufu katika makubaliano yeyote yale na mara nyingi haya huwa yanaonekana baadae.

"Sababu za maana" ikiwa moja wapo ya hayo mapungufu ina madhara yake.

Madhara hayo ni pamoja na kuona, kama hawa wataruhusiwa kuleta ulinzi wao.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom