Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Mazungumzo ya serikali na kampuni ya Barrick yamechukua muda mrefu, kila mbinu imetumika kuyamaliza lakini hakuna njia muafaka iliyofikiwa hadi sasa.
Kampuni ya Acacia inasema inataka mazungumzo na serikali moja kwa moja bila kupitia kwa mtu wa kati(hapa ni Barrick). Muda mrefu Acacia imekua ikiituhumu Barrick kuwatenga katika mazungumzo huku Barrick akijua wazi kabisa hakuna kitakachofikiwa bila kuridhiwa na Acacia wenyewe. Acacia alivyo mbabe amemgomea Barick kumnunua.
Kampuni ya Acacia inasema inataka mazungumzo na serikali moja kwa moja bila kupitia kwa mtu wa kati(hapa ni Barrick). Muda mrefu Acacia imekua ikiituhumu Barrick kuwatenga katika mazungumzo huku Barrick akijua wazi kabisa hakuna kitakachofikiwa bila kuridhiwa na Acacia wenyewe. Acacia alivyo mbabe amemgomea Barick kumnunua.
Besieged Acacia wants direct talks with Tanzania
The mining company is opposed to the proposed takeover by Barrick Gold.
www.theeastafrican.co.ke