Watu mbona wanashindwa hata kuelewa lugha yao? Ripoti ya Ikulu imesema Mwenyekiti wa Barick amekubali kuanza mazungumzo ambayo yatakuwa na lengo la kufikia muafaka kwa pande zote mbili. Nowhere does it say they will start paying!! They will initiate negotiations (which is normal in any business) with the objective of arriving at a solution acceptable to both. Someni vizuri kabla hamjaanza kushambulia.View attachment 523919 haya sasa,Barrick wamekanusha kufikia makubaliano ya kuilipa Tanzania japo wameongea na Rais