Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
AC Milan will not take part in the Europa League next season after being banned by the Court of Arbitration for Sport
Nafasi yake itachukuliwa na Torino
Kesi nyingine inaendelea ya Manchester city ambayo nafasi yake itachukuliwa na Arsenal.
-------
Klabu ya soka ya AC Milan ya Italia yenye makazi yake katika uwanja wa San Siro, itatumikia kifungo cha mwaka mmoja kutokushiriki michuano ya Ulaya inayoandaliwa na UEFA ikiwa ni Klabu Bingwa Ulaya na Europa Ligi
Klabu hiyo iliyomaliza katika nafasi ya 5 kwenye ligi ya soka Italia, Serie A imekumbana na kifungo kutoka kwa Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo baada ya kuvunja sheria ya 'Financial Fair Play' na hivyo haitashiriki michuano ya Europa ya msimu ujao
Kuna uwezekana mkubwa kuwa kwa sasa nafasi yao ya kushiriki Ligi ya Europa itachukuliwa na Torino, iliyomaliza katika nafasi ya 7 kwenye Ligi ya Serie A msimu uliopita. Roma iliyokuwa nafasi ya 6 ilishafuzu
Milan ilifanikiwa kukata rufaa dhidi ya kifungo cha miaka miwili ilichopewa awali na UEFA msimu wa majira ya joto uliopita baada ya kupatikana na hatia ya kuvunja sheria ya hiyo ya 'Financial Fair Play'
Nafasi yake itachukuliwa na Torino
Kesi nyingine inaendelea ya Manchester city ambayo nafasi yake itachukuliwa na Arsenal.
-------
Klabu ya soka ya AC Milan ya Italia yenye makazi yake katika uwanja wa San Siro, itatumikia kifungo cha mwaka mmoja kutokushiriki michuano ya Ulaya inayoandaliwa na UEFA ikiwa ni Klabu Bingwa Ulaya na Europa Ligi
Klabu hiyo iliyomaliza katika nafasi ya 5 kwenye ligi ya soka Italia, Serie A imekumbana na kifungo kutoka kwa Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo baada ya kuvunja sheria ya 'Financial Fair Play' na hivyo haitashiriki michuano ya Europa ya msimu ujao
Kuna uwezekana mkubwa kuwa kwa sasa nafasi yao ya kushiriki Ligi ya Europa itachukuliwa na Torino, iliyomaliza katika nafasi ya 7 kwenye Ligi ya Serie A msimu uliopita. Roma iliyokuwa nafasi ya 6 ilishafuzu
Milan ilifanikiwa kukata rufaa dhidi ya kifungo cha miaka miwili ilichopewa awali na UEFA msimu wa majira ya joto uliopita baada ya kupatikana na hatia ya kuvunja sheria ya hiyo ya 'Financial Fair Play'