Abunuasi na kisa cha punda

DEVINE

JF-Expert Member
Mar 11, 2011
536
86
ABUNUASI NA KISA CHA PUNDA..jirani yake abunuasi alikua anataka punda kwa ajil ya kusafirisha mizigo yake,akamwendeaabunuasi akamwabia jiran naomba niazimishe punda wako,abunuas akamjibu mimi sina punda,jamaa akafadhaika sana akawa anatoka lkn kabla ajakwenda mbali akamsikia punda akilia toka kwa abunuasi akarudi haraka akamwambia abunuasi umesema huna punda lkn nimeskia mlio wake,abunuasi akamjibu kwan unataka punda au mlio?akimaanisha yeye ana mlio tuu lkn hana punda..
 
teh teh umenikumbusha kile kisa cha Abunuwasi aliazima sufuria ya mtu akaitumia siku ya kurudisha akarudisha na kisufuria kidogo..akamwambia mwenye mali kuwa sufuria imezaa...jamaa akafurahia mbaya kabisa...baada ya siku kadhaa Abunuwasi akarudi tena kuomba sufuria...jamaa akachangamka sana akijua itarudi na nyingine.....ukapita muda bila Abunuwasi kurudisha.....siku moja akakutana naye njiani akamwambia mbona hujarudisha sufuria yangu? Abunuwasi akamwambia samahani ile sufuria ilikufa....jamaa akahamaki haiwezekani sufuria kufa...Abunuwasi akamwambia kila kinachozaa hufa......
 
hahahahaaaa ndio sisiemu hawa, wna bastola tu lakini hawana risasi...
 
teh teh umenikumbusha kile kisa cha Abunuwasi aliazima sufuria ya mtu akaitumia siku ya kurudisha akarudisha na kisufuria kidogo..akamwambia mwenye mali kuwa sufuria imezaa...jamaa akafurahia mbaya kabisa...baada ya siku kadhaa Abunuwasi akarudi tena kuomba sufuria...jamaa akachangamka sana akijua itarudi na nyingine.....ukapita muda bila Abunuwasi kurudisha.....siku moja akakutana naye njiani akamwambia mbona hujarudisha sufuria yangu? Abunuwasi akamwambia samahani ile sufuria ilikufa....jamaa akahamaki haiwezekani sufuria kufa...Abunuwasi akamwambia kila kinachozaa hufa......

kwa kwa kwaa
 
hahahahaaaa ndio sisiemu hawa, wna bastola tu lakini hawana risasi...
Hahahaha! Hatuogopi bastola sisi...hawajiamini, ndo mana wameanza kutisha watu na bastola....tutafika tu hata iweje. Tanzania yenye neema imekaribia kupatikana!
 
teh teh umenikumbusha kile kisa cha Abunuwasi aliazima sufuria ya mtu akaitumia siku ya kurudisha akarudisha na kisufuria kidogo..akamwambia mwenye mali kuwa sufuria imezaa...jamaa akafurahia mbaya kabisa...baada ya siku kadhaa Abunuwasi akarudi tena kuomba sufuria...jamaa akachangamka sana akijua itarudi na nyingine.....ukapita muda bila Abunuwasi kurudisha.....siku moja akakutana naye njiani akamwambia mbona hujarudisha sufuria yangu? Abunuwasi akamwambia samahani ile sufuria ilikufa....jamaa akahamaki haiwezekani sufuria kufa...Abunuwasi akamwambia kila kinachozaa hufa......

bushbaby;kwa kweli umenikumbusha mbali sana,...nimecheka si kipolepole!
 
kile kisa cha majuha watatu mnakikumbuka?
majuha wenyewe imebainika ni nape, lusinde na mwigulu joke!!!!!!
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom