Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Mwacheni baba wa watu apumzike.
Kilichotukasirisha chadema sio Lowassa kwenda ikulu bali kauli yake ya kuusifia utawala huu dhalimu baada ya kutoka ikulu
Pamoja na kusisitiza kufanya kazi (Piga kazi), rekebisha neno lenye rangi nyekundu hapo juu lisomeke " HAUNA" ili kuweka sawa maana na matumizi ya neno. Tunaendelea kufanya kazi. AsanteUsanii auna nafasi katika nchi hii kwa sasa. JPM piga kazi, tunapiga kazi, nchi isonge mbele.
wewe hujaelewa, alitoa taarifa baada ya kurudi ikulu...Kweli hakika nimekubaliana na Jacob kuwa chadema wengi ni taka taka tuu.....kumbe kelele zote zile za Mbowe ilikuwa ni kuwadanganya wasio jua kuwa alikuwa anajua kuwa Lowasa anglikwenda ikulu.....
hahahaha Leo hii Lowasa amekwenda kukutana na Mbowe kupeleka mrejesho kwa aliyemtuma....
Mbowe mjanja sana.......