kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,807
Huyu bwana mdogo anaupiga mwingi lakini hatajwi popote, sio kwenye tuzo za soka, sio vyombo vya habari. Lakini huyu jamaa ana namba kikosi cha kwanza ndani ya timu kubwa kama Azam nadhan miaka 3 mfululizo. Ni moja ya viungo bora kabisa kutokea nchini.
Tusisubiri afe ndo tukapambe jeneza lake kwa mabendera ya club na Taifa... apewe heshima anayostahili, anaujua mpira.
Tusisubiri afe ndo tukapambe jeneza lake kwa mabendera ya club na Taifa... apewe heshima anayostahili, anaujua mpira.