Jolebatawi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 549
- 230
Wadau kulikuwa na tetesi kuwa huyu jamaa anahamia new habari corporation kwa RA kuanzia tarehe 1.12.2012,,na ushahidi wa hili ni alipoanza kuandika makala ndani ya gazeti la tanzania daima(m4c kama nape anavyoliita) kwa kuanza kujikomba kwa magamba kama makala yake ya namuogopa kinana,mara kinana ni kimbunga n.k ili aanze kuufukuzia ukuu wa wilaya hiyo 2015 kama watanusurika kufa.
SWALI LANGU NI JE AMESHATIMKA TZ DAIMA??AU ROSTAM BADO HAJAMCHUKUA
SWALI LANGU NI JE AMESHATIMKA TZ DAIMA??AU ROSTAM BADO HAJAMCHUKUA