sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,302
naunga mkono hoja yako siasa ni mchezo wa ajabu sana,chadema kuna kitu wanavizia hapo haiwezekani kibanda apate ujasiri wa kumsafisha lowasa mbowe asimuite na kumkanya, kuna kitu.Pengine unabidi ujiulize kwa nini CDM hawajibu baadhi ya hoja za baadhi ya wanaCCM. Mimi ninafikiria kisiasa zaidi badala ya watu kuwa kwenye payroll za watu. ninamanisha ni mtaji wa kisiasa, kwani kuna baadhi ya watu wakipishwa kugombea Uraisi itakuwa rahisi kwa vyama vingeni kupata kura nyingi zaidi kwa sababu ya historia.