Kama ilivyoanza kama tetesi ndani ya JF (ref https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...r-wa-new-habari-kuanzia-disemba-1-2012-a.html ),
Aliyekuwa mhariri mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda, leo ameaga rasmi na kuachia nafasi yake mhariri mtendaji, kwa maelezo kuwa anaenda kujiunga na kampuni ya New Habari Corporation 2006, inayochapisha zaidi ya magazeti manne hapa nchini.
Akiongea na wafanyakazi wa gazeti la Tanzania Daima leo asubuhi, Kibanda alisema sababu kubwa ya kuondoka hapo ni kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya katika majukumu yake ya uandishi.
Amewataka waandishi wa gazeti wanaobakia waendelee kufanya kazi kwa bidii, kwa ajili ya kulikomboa taifa kwa kuuanika ukweli pasipo kuogopa.
Aliyekuwa mhariri mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda, leo ameaga rasmi na kuachia nafasi yake mhariri mtendaji, kwa maelezo kuwa anaenda kujiunga na kampuni ya New Habari Corporation 2006, inayochapisha zaidi ya magazeti manne hapa nchini.
Akiongea na wafanyakazi wa gazeti la Tanzania Daima leo asubuhi, Kibanda alisema sababu kubwa ya kuondoka hapo ni kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya katika majukumu yake ya uandishi.
Amewataka waandishi wa gazeti wanaobakia waendelee kufanya kazi kwa bidii, kwa ajili ya kulikomboa taifa kwa kuuanika ukweli pasipo kuogopa.