Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 622
Habari za wakati huu?
Imekua kawaida sana hasa baada ya uchaguzi Mkuu na mpaka kufikia hatua ya kuapishwa kua raisi wa nchi, Wakati akiwa amekabidhiwa nchi punde Mda si mrefu hua wanamfata mkewe popote alipoajiliwa na kumuachisha shughuli aliokua anafanya (ajira yake) pengine kwa kuwaaga wafanyakazi wenzake au lah!
Naomba kufahamu baada ya kuachishwa kazi (ajira) mke wa Raisi (first lady) huwa anapewa kazi gani ya kufanya? na je hua analipwa mshahara Kama raisi anavolipwa? Kama ndio Malipo yake yapoje?
Je, hua ana Ofisi Kama vile makamu/ waziri Mkuu?
Vipi Nssf/ppf yake Kule alipoachishwa kazi anapewa immediately au inaunganishwa Kule anapopelekwa??
Imekua kawaida sana hasa baada ya uchaguzi Mkuu na mpaka kufikia hatua ya kuapishwa kua raisi wa nchi, Wakati akiwa amekabidhiwa nchi punde Mda si mrefu hua wanamfata mkewe popote alipoajiliwa na kumuachisha shughuli aliokua anafanya (ajira yake) pengine kwa kuwaaga wafanyakazi wenzake au lah!
Naomba kufahamu baada ya kuachishwa kazi (ajira) mke wa Raisi (first lady) huwa anapewa kazi gani ya kufanya? na je hua analipwa mshahara Kama raisi anavolipwa? Kama ndio Malipo yake yapoje?
Je, hua ana Ofisi Kama vile makamu/ waziri Mkuu?
Vipi Nssf/ppf yake Kule alipoachishwa kazi anapewa immediately au inaunganishwa Kule anapopelekwa??