Mkuu hiyo safari ni moja kwa moja au utarudi tena mjini.... dah maana maisha ya hapa dar sii mchezo watu wanaukimbia mji kila kukicha
Mtama!View attachment 25144
MAHUTA EXPRESS.....MASAA KADHAA TU UPO MAHUTA TOWN!!! Hii inapitia junction moja karibu na nyangao pale..nikumbushen hapa
Mtama!
mh huu mji tunakomaa hapa hapa tukisogea tuu tumewaachia wahindi na wachinaMjini shule, shamba kilimo. Niko jijini tangu 80's, siwezi give up that easily! Ila alama za nyakati zikitaka tuhame tutahama...
Ila mwendo wake, usiwe na presha!Next time kama unaenda Mbeya na unataka kupanda aboud, basi panda aboud linaloelekea Tunduma kisha utashuka Mbeya.
La Tunduma ndio zima maybe kwa sababu safari yake ni ndefu zaidi, mimi nina uzoefu nalo.
comment zako + avatar yako hunifanya nichekePole mkuu, safari njema!
Next time kama unaenda Mbeya na unataka kupanda aboud, basi panda aboud linaloelekea Tunduma kisha utashuka Mbeya.
La Tunduma ndio zima maybe kwa sababu safari yake ni ndefu zaidi, mimi nina uzoefu nalo.
nakutakia safari njema, check sana kona za Iyovi mle. wendawazimu wanalala nazo kama hawana akili nzuri. usafiri wa uhakika angalau ni Dar express, sema nao nia hiyo ya mbeya hawana magari. wakati unarudi sasa chukua Happy Nation wanaziita "sauti ya manka" ni balaaa hizo, chassis za lori