Torch
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,200
- 1,116
Ktk mahafali ya kuwakaribisha mwaka wakwanza ambao ni makada wa ccm ktk vyuo vikuu hapa morogoro mbunge amepata kupokea wanachama kutoka chadema ambao wanasema wamechoshwa na siasa za kikanda na kidini zinazoendeshwa na mbowe na dr. Slaa
ccm oyeeee
kulalalalalalalaaaaaake watz kukomboka ni shda sana... SIAMINI ULIYEANDIKA HAYA KAMA MTZ akili yako ni fupi kama ya zitto......