Abiud Mageresi:Makundi bado yapo CCM

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Dec 26, 2006
4,184
671
Makundi bado yapo CCM
2008-03-28 10:43:43
Na Sabato Kasika


Mwenyekiti wa zamani wa Jumuiya ya Wazazi CCM ambaye alisimamishwa kuiongoza jumuiya hiyo, Bw. Abiud Maregesi, ameibuka na kusema kuwa, chama hicho kina makundi ambayo kama hayatapigiwa kelele, yataleta madhara makubwa ndani ya chama.

Bw. Maregesi alisimamishwa uongozi Juni, mwaka jana kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha na madaraka.

Tangu Bw. Maregesi aondolewe kwenye wadhifa huo, amekuwa kimya kwa muda wote hadi alipoibuka juzi jijini Dar es Salaam na kuamua kutoa dukuduku lake kupitia gazeti hili.

Kwa mujibu wa Bw. Maregesi ambaye ni kada wa siku nyingi wa chama hicho, tangu avuliwe wadhifa huo, hajawahi kuitwa na kikao chochote cha CCM na kuhojiwa kuhusiana na tuhuma zilizoelekezwa kwake, hali aliyosema inamfanya ashindwe kuelewa ukweli wa suala hilo.

Akifafanua kuhusu madai ya kuwepo kwa makundi ndani ya CCM, alisema licha ya kwamba viongozi wa chama hicho wanakataa

SOURCE: Nipashe
 
Makundi bado yapo CCM
2008-03-28 10:43:43
Na Sabato Kasika


Mwenyekiti wa zamani wa Jumuiya ya Wazazi CCM ambaye alisimamishwa kuiongoza jumuiya hiyo, Bw. Abiud Maregesi, ameibuka na kusema kuwa, chama hicho kina makundi ambayo kama hayatapigiwa kelele, yataleta madhara makubwa ndani ya chama.

Bw. Maregesi alisimamishwa uongozi Juni, mwaka jana kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha na madaraka.

Tangu Bw. Maregesi aondolewe kwenye wadhifa huo, amekuwa kimya kwa muda wote hadi alipoibuka juzi jijini Dar es Salaam na kuamua kutoa dukuduku lake kupitia gazeti hili.

Kwa mujibu wa Bw. Maregesi ambaye ni kada wa siku nyingi wa chama hicho, tangu avuliwe wadhifa huo, hajawahi kuitwa na kikao chochote cha CCM na kuhojiwa kuhusiana na tuhuma zilizoelekezwa kwake, hali aliyosema inamfanya ashindwe kuelewa ukweli wa suala hilo.

Akifafanua kuhusu madai ya kuwepo kwa makundi ndani ya CCM, alisema licha ya kwamba viongozi wa chama hicho wanakataa

SOURCE: Nipashe

Poor Maregesi,

Makundi ameyaanza kuyaona leo baada ya kunyang'anywa ulaji?
 
Back
Top Bottom