STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,208
Ni abiria wengine wachache ndio walipaza sauti
kutaka Abiria waliokua wakiongea kiarabu
washushwe kwenye ndege ya shirika la ndege la
Marekani liitwalo Delta ambapo Wahudumu wa
ndege hiyo walichukua uamuzi wa kuwashusha. Baada ya kuambiwa kuhusu kuondolewa kwao
kwenye ndege hiyo abiria hao walianza kulalamika
na kusema huo ni ubaguzi wa waziwazi kisa
wameongea lugha nyingine,
kutaka Abiria waliokua wakiongea kiarabu
washushwe kwenye ndege ya shirika la ndege la
Marekani liitwalo Delta ambapo Wahudumu wa
ndege hiyo walichukua uamuzi wa kuwashusha. Baada ya kuambiwa kuhusu kuondolewa kwao
kwenye ndege hiyo abiria hao walianza kulalamika
na kusema huo ni ubaguzi wa waziwazi kisa
wameongea lugha nyingine,