Abiria walioenda kula sikukuu washindwa kurudi, wakwama stendi kwa siku 3

Wachaga pambaneni na hali zenu nyie kila mwisho wa mwaka lazima mwende kwenu mkaroge
 
Kwenu wapi kwanza,tuanzie hapo.

Yaani nitoke Singida niende kumuona ndugu Mbeya kisha Arusha,Mtwara Na Lindi.Si nitakuwa kichaa.Na vipi ndugu jamaa Na marafiki wengine,sisi ndo tumejipangia kuonana wakati Huo Na hali zinaruhusu wewe unataka kutupangia sisi ili iweje.Mkajenge kwenu kwanza nyumba ziweze ku-accomodate watu wengi.
Huu ni upumbavu kuanza kujua kwetu wapi mimi ni wa Marangu eeh Una kingine unataka kujua?
 
Hali hiyo imewafanya abiria wengi kushindwa kusafiri leo Ijumaa kutokana na wingi wa abiria waliokuwepo katika kituo hicho.




Moshi. Mamia ya abiria wameendelea kufurika katika kituo kikuu cha mabasi Moshi na kusababisha hali ya usafiri kuwa ngumu kutokana na uhaba wa magari ya kusafiria.


Hali hiyo imewafanya abiria wengi kushindwa kusafiri leo Ijumaa kutokana na wingi wa abiria waliokuwepo katika kituo hicho.

Kukosekana kwa magari ya kutosha abiria wengi wamesitisha safari zao.

Akizungumzia adha ya usafiri huo abiria anayekwenda Dar es Salam, Asha Hamza amesema amewahi kufika kituoni saa 12 asubuhi lakini cha kushangaza hajafanikiwa kupata usafiri.

"Hali hii kweli inachosha tangia asubuhi niko hapa lakini sijafanikiwa kupata gari itabidi tu nirudi nyumbani sina ujanja labda kesho hali inaweza ikabadilika," amesema abiria huyo

Ashura Khalid anayekwenda Singida ameilalamikia Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) kwa kushindwa kutoa vibali vya magari yenye viwango kuwasafirisha abiria waliokosa usafiri

"Tumekuja na watoto hadi sasa hivi tuko hapa hatujui tufanyeje na mizigo hii tuliyobeba, watufanyie tu namna tuondoke maana hali ni mbaya," amesema abiria huyo.

Chanzo: Mwananchi, Millard Ayo

Waendelee kunywa mbege na kisusio bana,wakizidi kuchelewa watakuta tumeweka wapishi wengine kwenye mabaa yetu
 
Kwani lazima matangazo aisee, Hata sisi huwa tunaenda kwetu ila sio issue maana ni jambo la kawaida tu na linatuhusu wenyewe na familia zetu.
Kuna wa mikoa flani mpaka waweke whatsap, facebook, jf yote haya ushamba tu
 
Mikumbo tuu kwan unashindwa kwenda kusalimia home muda mwingine mpka uende December.....Au ndo Kurenew maisha kwa kuchinja ?????Mungu hataki mnayoyafanya......
Wanamwaga sana damu na sadaka za kafara hawa jamaa ...kuna siku zitawalilia na siku wasipozifanya hizo rituals ndo utakuwa mwisho wa zama zao. Ole wao...
 
Kwenu wapi kwanza,tuanzie hapo.

Yaani nitoke Singida niende kumuona ndugu Mbeya kisha Arusha,Mtwara Na Lindi.Si nitakuwa kichaa.Na vipi ndugu jamaa Na marafiki wengine,sisi ndo tumejipangia kuonana wakati Huo Na hali zinaruhusu wewe unataka kutupangia sisi ili iweje.Mkajenge kwenu kwanza nyumba ziweze ku-accomodate watu wengi.
Matumizi ya teknolojia hamyajui nyinyi tumieni Skype and the like

physical movement zimepitwa na wakati
 
Wanalalamika nini? si watumie KIA na vitz vyao. Sifa zitawaponza sana ona sasa mnaanza kuaibika
 
Yeah
kikubwa ni salaam naona,
ama labda kama kuna jambo lingine,
kama kutambika nk.
Mi sijawahi kuona matambiko kwetu ila ile kujumuika pamoja napata faraja Sana.Then Luna yale mambo ya kuhimizana kufanya shughuli fulani au kupata msaada unapokwama no tofauti na mazungumzo ya simu ambayo uzito unakuwa mdogo.

Lakini kuna marafiki,mfano kuna wakati sikwenda huko kwa miaka 5 mfululizo...muda wote huo sikuonana Na marafiki wanabaki wanaulizana tu.
 
Back
Top Bottom