Abiria wa mabasi ya mwendokasi wasema hivi mateso haya na nchi zingine duniani wanapata?

Tyupa

JF-Expert Member
Aug 11, 2013
802
653
Sijawahi kuona mateso jinsi hii kama yalivyotokea leo kwenye mabasi ya mwendokasi.Abiria baadhi ya vituo vya Kariakoo wamekaa zaidi ya saa 4 bila kupata gari.

Kila gari inayokuja imejaa na haisimami.Machache yanayosimama yalikuwa yanachukua abiria kidogo tu kwa sababu hakuna nafasi ya kubeba abiria zaidi.

Matatizo kibao ya mwendokasi nina imani serkali haijui kwa sababu hakuna waandishi wa habari wanaopanda mabasi hayo ili wajionee wenyewe kusudi wapate fursa ya kuandika au kutangaza kwenye vyombo vya habari.

Nina uhakika raisi wetu Maghufuli laiti kama amebahatika kuona jinsi abiria wanavyopata shida anaweza kutoa chozi.

Mbunge wetu Kubenea nae amelala usingizi wa pono hata hajui watu wa jimbo lake wanapata mateso gani kwenye mwendo kasi.

Mbali ya tatizo la uchache wa mabasi upuuzi mwingine wa kupakia abiria na kuwashusha Kimara halafu wanapakiwa tena na mabasi hayo hayo kuwapeleka mjini bado unatesa watu.

Mvua ilipoharibu miundo mbinu ya barabara majuzi wahusika na UDART waliwatangazia Watanzania haraka haraka kuwa samahani kwa usumbufu uliojitokeza baada ya mvua kuharibu barabara.

Lakini viongozi hao pamoja na kusikia malalamiko kibao juu ya sababu inayowafanya viongozi wa UDART kuwashusha abiria Kimara na kisha kuwachukua tena.

Sababu kuu ya kuwashusha haielezwi ni kwa ajili kuchukua kitu gani pale.

Mabasi 70 mapya hawaelezi kwa nini yamehifadhiwa stoo badala ya kuokoa janga la uhaba wa mabasi haya.Wadau wa usafiri wa Dar wanashauri kwa nguvu zote daladala ziruhusiwe kwa sababu mradi huu ni USELESS.
 
Tangu lini Msukuma akaendesha biashara?

Huyo Simon ni mtupu kichwani,
Haya ndio matatizo ya kupeana kazi kwabundugu, ushkaji, ukabila.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Sijawahi kuona mateso jinsi hii kama yalivyotokea leo kwenye mabasi ya mwendokasi.Abiria baadhi ya vituo vya Kariakoo wamekaa zaidi ya saa 4 bila kupata gari.

Kila gari inayokuja imejaa na haisimami.Machache yanayosimama yalikuwa yanachukua abiria kidogo tu kwa sababu hakuna nafasi ya kubeba abiria zaidi.

Matatizo kibao ya mwendokasi nina imani serkali haijui kwa sababu hakuna waandishi wa habari wanaopanda mabasi hayo ili wajionee wenyewe kusudi wakati fursa ya kuandika au kutangaza kwenye vyombo vya habari.

Nina uhakika raisi wetu Maghufuli laiti kama amebahatika kuona jinsi abiria wanavyopata shida anaweza kutoa chozi.

Mbunge wetu Kubenea nae amelala usingizi wa pono hata hajui watu wa jimbo lake wanapata mateso gani kwenye mwendo kasi.

Mbali ya tatizo la uchache wa mabasi upuuzi mwingine wa kupakia abiria na kuwashusha Kimara halafu wanapakiwa tena na mabasi hayo hayo kuwapeleka mjini bado unatesa watu.

Mvua ilipoharibu miundo mbinu ya barabara majuzi wahusika na UDART waliwatangazia Watanzania haraka haraka kuwa samahani kwa usumbufu uliojitokeza baada ya mvua kuharibu barabara.

Lakini viongozi hao pamoja na kusikia malalamiko kibao juu ya sababu inayowafanya viongozi wa UDART kuwashusha abiria Kimara na kisha kuwachukua tena.

Sababu kuu ya kuwashusha haielezwi ni kwa ajili kuchukua kitu gani pale.

Mabasi 70 mapya hawaelezi kwa nini yamehifadhiwa stoo badala ya kuokoa janga la uhaba wa mabasi haya.Wadau wa usafiri wa Dar wanashauri kwa nguvu zote daladala ziruhusiwe kwa sababu mradi huu ni USELESS.
Mbunge hapo anahusikaje??
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Sijawahi kuona mateso jinsi hii kama yalivyotokea leo kwenye mabasi ya mwendokasi.Abiria baadhi ya vituo vya Kariakoo wamekaa zaidi ya saa 4 bila kupata gari.

Kila gari inayokuja imejaa na haisimami.Machache yanayosimama yalikuwa yanachukua abiria kidogo tu kwa sababu hakuna nafasi ya kubeba abiria zaidi.

Matatizo kibao ya mwendokasi nina imani serkali haijui kwa sababu hakuna waandishi wa habari wanaopanda mabasi hayo ili wajionee wenyewe kusudi wapate fursa ya kuandika au kutangaza kwenye vyombo vya habari.

Nina uhakika raisi wetu Maghufuli laiti kama amebahatika kuona jinsi abiria wanavyopata shida anaweza kutoa chozi.

Mbunge wetu Kubenea nae amelala usingizi wa pono hata hajui watu wa jimbo lake wanapata mateso gani kwenye mwendo kasi.

Mbali ya tatizo la uchache wa mabasi upuuzi mwingine wa kupakia abiria na kuwashusha Kimara halafu wanapakiwa tena na mabasi hayo hayo kuwapeleka mjini bado unatesa watu.

Mvua ilipoharibu miundo mbinu ya barabara majuzi wahusika na UDART waliwatangazia Watanzania haraka haraka kuwa samahani kwa usumbufu uliojitokeza baada ya mvua kuharibu barabara.

Lakini viongozi hao pamoja na kusikia malalamiko kibao juu ya sababu inayowafanya viongozi wa UDART kuwashusha abiria Kimara na kisha kuwachukua tena.

Sababu kuu ya kuwashusha haielezwi ni kwa ajili kuchukua kitu gani pale.

Mabasi 70 mapya hawaelezi kwa nini yamehifadhiwa stoo badala ya kuokoa janga la uhaba wa mabasi haya.Wadau wa usafiri wa Dar wanashauri kwa nguvu zote daladala ziruhusiwe kwa sababu mradi huu ni USELESS.


Hivi kwani Daladala nyingine hakuna? Kama hampendi si mpande daladala shida iko wapi?
 
Ni kweli mabasi hayo yameisha zidiwa uwezo, yaani abiria ni wengi kuliko uwezo wao wa kuwachukua, ni vyema wakuu waje kwenye vituo vya basi mfano suka, temboni n. K waje wajionee jinsi watu wanavyo kaa mda mrefu, nadhani mh.P.Makonda unaweza ukafanya kitu hapa.
 
Trump kasema Africa tz ikiwemo ndani yake ni Sithole, sasa unataka waandishi wa habari huo uozo ili wapotezwe!?
 
Makonda aende Mbezi Luis ajionee mwenyewe jinsi abiria wanavyoteseka kupanda magari ya mwendokasi na baada ya kubahatika kupanda hushushwa tena Kimara terminal ili abiria wakate tiketi nyingine ya kwenda mjini.Abiria kwa muda mrefu wanauliza bila kupata majibu kuwa kuna mantiki gani kuwapotezea muda wao mwingi badala ya kuwapeleka mjini moja kwa moja.Kama ni nauli ni ndogo basi serkali iongeze ili kuondoa kero hii isiokuwa na kichwa wale miguu.
 
Back
Top Bottom