EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Hii picha inadaiwa kuchukuliwa tarehe 16 Septemba 2011 ndani ya basi la Aboud lililokuwa likitokea Morogoro kwenda dar ambapo tiketi zilikuwa zinagawiwa kama njugu bila kujali manifest ya abiria. Kama vile haitoshi polisi wa trafiki nae aliomba lift na kuwa miongoni mwa abiria wasiokuwa na viti vya kukaa kama picha inavyoonyesha. Inadaiwa huyu polisi aliomba lift kwenye hili basi ambalo tayari lilikuwa limeshasheheni abiria kinyume na sheria katika maeneo ya Mwidu ambapo basi la Glazia lilipata ajali hivi karibini. Kwa habari zaidi tembelea: http://issamichuzi.blogspot.com/2011/09/mzee-wa-feva-na-lift-ya-bus-lililojaa.html#comments