Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,633 697,754 Dec 1, 2014 Thread starter #2 Kama si plate number unaweza kudhani hapa sio bongo
K kigoda JF-Expert Member Oct 15, 2012 1,781 356 Dec 1, 2014 #5 Castle ni Castle sory Safari ni Safari tu muhimu kufika salma, aah, salama. Escrow jaman inatuchanya
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,633 697,754 Dec 1, 2014 Thread starter #6 kigoda said: Castle ni Castle sory Safari ni Safari tu muhimu kufika salma, aah, salama. Escrow jaman inatuchanya Click to expand... Hahahahaaa kigoda unatafuta bifu na watu wewe Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kigoda said: Castle ni Castle sory Safari ni Safari tu muhimu kufika salma, aah, salama. Escrow jaman inatuchanya Click to expand... Hahahahaaa kigoda unatafuta bifu na watu wewe
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Dec 10, 2014 #7 Sheria hazirushusu hii lakini kibongo bongo poa. Hatari sana. Chombo kimezidisha uzito, watu wamejaa ndani mpaka butini!
Sheria hazirushusu hii lakini kibongo bongo poa. Hatari sana. Chombo kimezidisha uzito, watu wamejaa ndani mpaka butini!
MANI Platinum Member Feb 22, 2010 7,320 6,376 Dec 10, 2014 #8 mshana jr said: Kama si plate number unaweza kudhani hapa sio bongo Click to expand... Hii ni njia ya msata -bagamoyo ndio zao hizo.
mshana jr said: Kama si plate number unaweza kudhani hapa sio bongo Click to expand... Hii ni njia ya msata -bagamoyo ndio zao hizo.