Mchungaji Abiud MisholiKwakweli imebidi nije kwenu maana humu ndio penyewe kwa kila jambo naomba msaada wa kimaamuzi kwacc wapenzi wa gospel kati ya hao magwiji wawili nani mkali ?
Andika jina tu kwa unayeona nyimbo zake ni nzuri mnoooo hakuna kila binadamu anaupande wake bila unafiki Mimi nàmkubali abihudi misholi
Twende kazi
Abiudi Misholi sio wa mchezo ukisikiliza ujumbe unapenya moyoni kabisaUmeshawahi kusikiliza nyimbo za abihudi misholi tends miujiza ushawahi aiseee acha kabisa
Haaa haaaHuu mpambano sio fair maana kula nyingi zinaenda kwa mtu m1
Hata mm ya kwangu ni Abiudi
ExactlyABIUDY NAMBA NYNGNE.NAMFANANISHA NA MAREHEMU SEDEKIA
Hivi umeishia darasa la ngapi,naona hujui hata maana ya neno tetesi.Kwakweli imebidi nije kwenu maana humu ndio penyewe kwa kila jambo naomba msaada wa kimaamuzi kwacc wapenzi wa gospel kati ya hao magwiji wawili nani mkali ?
Andika jina tu kwa unayeona nyimbo zake ni nzuri mnoooo hakuna kila binadamu anaupande wake bila unafiki Mimi nàmkubali abihudi misholi
Twende kazi
Sijui hata km alikua anatumia kilevi au bangi, ila jamaa alikua waruwaru sana, labda stress za life maana kwao kulikua na majanga sana.Acha utani mkuu serious? Basi kweli mungu amemuita hakika amtumikie
Kweli kabisa, ukisijiliza nyimbo zake utazidi kuimarika kiroho.Abiudi ananyimbo ukiwa unahitaji uwepo wa Mungu rohoni mwako lazima akili ifanye kazi fasta kujua Mungu alikutoa wapi na unatakiwa uende wapi na unatakiwa ufanye nn ktk maisha yaliyopo.lazima ujitambue na kama ulikuwa kinyume na Mungu lazima utubu