sio kwamba sina uhakika, huyu jamaa kafia Arusha maeneo ya Usa, hapa nilipo naishi karibu kabisa na shangazi ake, maeneo ya kimandolu, na chalii aliekuwa ana muuguza ni chalii etu, ambae ni binamu yake. Kwaio nna uhakika na hii habari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.