mr mkiki JF-Expert Member Sep 22, 2016 5,583 11,659 Dec 4, 2018 #1 "itakuwa korosho kubwa kama tutakuwa na chama au serikali ya watu wote wanafikiri sawa, wana maoni sawa, wana kauli sawa kwa kila jambo " Tukiwa na watu aina hio tutakuwa ama hawafikiri au hawasemi ukweli. Una maoni gani katika hii. mr mkiki.
"itakuwa korosho kubwa kama tutakuwa na chama au serikali ya watu wote wanafikiri sawa, wana maoni sawa, wana kauli sawa kwa kila jambo " Tukiwa na watu aina hio tutakuwa ama hawafikiri au hawasemi ukweli. Una maoni gani katika hii. mr mkiki.
Mgibeon JF-Expert Member Aug 7, 2011 11,140 20,778 Dec 4, 2018 #4 Habari umeifupisha sana kiasi kwamba haileweki.
njiwa JF-Expert Member Apr 16, 2009 12,368 5,512 Dec 4, 2018 #5 kichwa cha habari na contents tofauti
mr mkiki JF-Expert Member Sep 22, 2016 5,583 11,659 Dec 4, 2018 Thread starter #7 njiwa said: kichwa cha habari na contents tofauti Click to expand... Toa tofauti?
ISIS JF-Expert Member Apr 20, 2016 96,073 858,529 Dec 4, 2018 #8 lwamu said: Leta chanzo maana cjamwelewa jamaaa Click to expand... Liongo bwege hilo achana nalo
Bila bila JF-Expert Member Dec 20, 2016 21,470 37,713 Dec 4, 2018 #10 mr mkiki said: Toa tofauti? Click to expand... Nadhani alimaanisha litakuwa ni "kosa" kubwa na siyo "Korosho" kubwa.
mr mkiki said: Toa tofauti? Click to expand... Nadhani alimaanisha litakuwa ni "kosa" kubwa na siyo "Korosho" kubwa.
mr mkiki JF-Expert Member Sep 22, 2016 5,583 11,659 Dec 4, 2018 Thread starter #11 wa stendi said: Mi hata sijaelewa Click to expand... Ndio ccm hutumia kauli hizi kwa watu kama nyie. Tuliza kichwa fikiria
wa stendi said: Mi hata sijaelewa Click to expand... Ndio ccm hutumia kauli hizi kwa watu kama nyie. Tuliza kichwa fikiria
mr mkiki JF-Expert Member Sep 22, 2016 5,583 11,659 Dec 4, 2018 Thread starter #12 Bila bila said: Nadhani alimaanisha litakuwa ni "kosa" kubwa na siyo "Korosho" kubwa. Click to expand... Hahahaha, kwenye ile 1.5T lugha nayo mlipadilisha
Bila bila said: Nadhani alimaanisha litakuwa ni "kosa" kubwa na siyo "Korosho" kubwa. Click to expand... Hahahaha, kwenye ile 1.5T lugha nayo mlipadilisha